Mikusanyikooo mnafanya tuInaonekana huko Chadema kuuwana ni jambo la kawaida kabisa......mtu anatamka tu eti " fulani alitaka kuniua"
Kwanini hukuripoti polisi?!!
Ha ha ha ha ha ha itabidi na huko aondoke labda atarudi CDM au ataenda NCCRKwahiyo amehama CHADEMA sababu ya Heche sio Chama na siku Heche akihamia CCM itakuwaje
Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Tarime ahamia CCM akiongozana na wanachama 50.
Kasema 2015 wakati wa kura za maoni John Heche alituma watu wakamwagia sumu.
Na mwaka jana katika uchaguzi wa kanda ya Serengeti Heche alituma watu kumuua maana alikuwa upande wa Esther Matiko.
View attachment 1408577
Ni haki yake ya msingi kidemokrasia.Amechelewa kuhama huyu! Kunakucha ndo anavuta blanketi!
Mapambano ya Rwanda mazuri yapi?? Ya kuua washukiwa wa COVID-19 Au ya askari wake kubaka Wanawake wanaovunja amri ya Karantini???USAID imewaongezea Rwanda kiasi cha USD 1M kwa mapambano mazuri dhidi ya COVID-19
Tumechoka kusikia nahama CDM kwenda CCM, natokaka CCM naenda CUF, mara naenda ACT. Hii sasa sio habari ni upuuzi. Huu UMALAYA wa kisiasa fanyeni kwa SIRI maana mnajiaibisha.
Nenda ukawaulize Wamarekani.Mapambano ya Rwanda mazuri yapi?? Ya kuua washukiwa wa COVID-19 Au ya askari wake kubaka Wanawake wanaovunja amri ya Karantini???
Somtym Tuache kuimba mapambio ya kishetani
CCM wanataka watanzania wafe kwa wingi ili wapate pesa nyingi zaidi ziwasaidie kwenye kampeniUSAID imewaongezea Rwanda kiasi cha USD 1M kwa mapambano mazuri dhidi ya COVID-19
Kwa kweli kuhama hama kifala fala inakera sana tena inashangaza mbunge kwenda jimboni kwa mbunge mwingine kufanya kampeni kampen kabla ya mda wakeTumechoka kusikia nahama CDM kwenda CCM, natokaka CCM naenda CUF, mara naenda ACT. Hii sasa sio habari ni upuuzi. Huu UMALAYA wa kisiasa fanyeni kwa SIRI maana mnajiaibisha.