Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe shida yako ni kushika dola na siyo kutumikia wananchi.
Huyo ni chiziKwa hiyo wewe shida yako ni kushika dola na siyo kutumikia wananchi.
Kwa hiyo wewe shida yako ni kushika dola na siyo kutumikia wananchi.
Kabisa.Huyo ni chizi
Chadema ilianzishwa 28 Februari 1992..Kwani Chadema ina umri gani?
Nimeamini kweli huchoki kamanda😎
Acha utani kwenye masuala serious we pimbi wa CCMNimeamini kweli huchoki kamanda😎
Sawa kamanda😎Acha utani kwenye masuala serious we pimbi wa CCM
Sasa inakuwaje Mbowe kawa Mwenyekiti kwa miaka 30?Chadema ilianzishwa 28 Februari 1992..
Kimada Asiyechoka
Huwezi kujua maana una akili kiduchu.Sasa inakuwaje Mbowe kawa Mwenyekiti kwa miaka 30?
🤝Sawa kamanda😎
Hujui historia tutusa wahed!Huwezi kujua maana una akili kiduchu.
Endelea kunywa komoni huko Iringa. Mbowe aliwatanguliza Mtei na wengina kama geresha tu. Yeye ndio kila kitu. Ndio maana tunapinga aondoke tumechokaHujui historia tutusa wahed!
Achana naye huyo bhngiSasa inakuwaje Mbowe kawa Mwenyekiti kwa miaka 30?
Wewe mpumbavu tumia akili chadema ni mali ya ccm toka jpm afariki ...kama unabisha mtafute Rostam azizi .