Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga!hili ndio tatizo LA kupata div 4,
Hapo sasa.Acha ujinga!hili ndio tatizo LA kupata div 4,
Mandela alikaa miaka 27 jera!
Je wananchi wangekata tamaa,na, kumuambia, mkuu, tumeishachemka, tuache mspambano!!
Kamanda mchovu. Chadema ina miaka mingapi? Mbowe amekuwa mwenyekiti toka lini?
Mburukenge wewe kaa kimyaKamanda mchovu. Chadema ina miaka mingapi? Mbowa amekuwa mwenyekiti toka lini?
CCM kwa kutumia dola ni zaidi ya mkoloni ambaye hakuwahi kufyatua risasi ili aendelee kukaa madarakani lakini CCM imetumia kila aina ya njama ili mradi atawale kwa mkono wa dola, hata hivyo hali ya uchumi ni mbaya sana huku walioshindwa eti wanashangaa tuliopata nao uhuru miaka zaidi ya sitini iliyopita kufanikisha uchumi wao mara nane zaidi yetu!
VICHAA MPO WENGI SANA NA SABABU KUBWA NI UMASIKINI ULIONAO