TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

Jackiealiingia kwenye hii familia mali zikiwa ni za kampuni tayari!
WALA SIO SWALA LA KUPATA CHAKE AU KUNYIMWA CHAKE!

vipo vitu atastahili kwa nafasi yake AS a wife!
miongoni mwao SIO IPP MEDIA na viambata vyake!
Kama alikuwa ameandaa wosia wa mirathi inaweza saidia navyohisi otherwise ajiandae kisaikolojia anaweza asitoke na hata kigoda.though ndo alikuwa pumzi na faraja ya baba yao.
 

TUMEKUSOMA. NI HAKIKA DR. REGINALD MENGI ALIFANYA SEHEMU YAKE, KWA KADIRI ALIVYOWEZESHWA NA MUNGU / MOLA ("Nayaweza mambo yote katika YEYE ANITIAYE NGUVU"). HISTORIA ITAMHUKUMU.
Bwana alitoa, na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe
 
Mbona alishasema kuwa alivyochuma na mkewe wa kwanza vitabaki kuwa vya familia hile n.a. alivyochuma na Jack vitakuwa vya Jack
Kama alikuwa ameandaa wosia wa mirathi inaweza saidia navyohisi otherwise ajiandae kisaikolojia anaweza asitoke na hata kigoda.though ndo alikuwa pumzi na faraja ya baba yao.
 
Katika kupokea Taarifa za kufikwa na umauti Mzee mengi- Mungu amrehemu, watu wa kwnza kusoma Taarifa walishangazwa kwa kutoa majibu ya ajabu kabisa.

Kupitia hapa JF nimeshuhudia majibu ya mishtuko ya wachanguaji kupitia habari mpasuko.
 
Duuuh Mungu ailaze Roho ya marehem Mahala Pema Peponi
 
Katika kupokea Taarifa za kufikwa na umauti Mzee mengi- Mungu amrehemu, watu wa kwnza kusoma Taarifa walishangazwa kwa kutoa majibu ya ajabu kabisa.

Kupitia hapa JF nimeshuhudia majibu ya mishtuko ya wachanguaji kupitia habari mpasuko.
Mmmmm! Sijaambulia kitu!
 
Jamani walemavu tuwahurumie. Aliwasaidia sana. Mengi ni mtu pekee anayestahili sifa kubwa Tanzania kwa moyo wake wa kutoa. RIP Mzee wetu Mengi and the only African worth some salt!
 
Lazima tushtuke ameondoka simba billionea aliye kuwa anasaidia jamii
Mtu mwenye maono ya mbali sanaaa
 
Jackiealiingia kwenye hii familia mali zikiwa ni za kampuni tayari!
WALA SIO SWALA LA KUPATA CHAKE AU KUNYIMWA CHAKE!

vipo vitu atastahili kwa nafasi yake AS a wife!
miongoni mwao SIO IPP MEDIA na viambata vyake!
Unawafahamu share holders wa IPP?
 
R I P yako haisaidii chochote hata usiposema..mtu ameshafariki bado unamuwazia mabaya...kweli bongo uchawi upo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…