Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kilikuwa kinalelewa na chenyewe kianze kulea wana 'vacant post'Khaaaa.....apumzike kwa amani tajiri....
Sa kile kitoto anawaachia wana?
A was just thinking out loud!
Umenukuu vizuri... si kama tulivyozoea wengi kukosea.Bwana alitoa Bwana ametwaa,Jina lake lihimidiwe.
Kazi anayo Dada watu: atapata chake kweli.SIO FAMILIA HII Aisee!
ALISHAANDAA WANAE MAPEMA SANA!
PoaNgoja nifanye mawasiliano na "MWESYA' wa Ukerewe nitarudi kwako muda si mrefu!
Unao utaalamu wa kuingia mahabara na kufanya 'salt mineral test'!Mpaka sasa tayari midume inampigia hesabu. We pesa zote hizo! Hata mimi akikubali tunaingia mkataba tu, kwani kitu gani
Jackiealiingia kwenye hii familia mali zikiwa ni za kampuni tayari!Kazi anayo Dada watu: atapata chake kweli.
Maana familia zetu za kiafrica tunazijua wenyewe