Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
hahaha mkuu, kabisa unadhani mengi kwa sababu ni mmiliki basi alirusha yeye hiko kipindi ? wafanyabiashara wako busy mno unaezakuta joe kusaga anamaliza week nzima hajatazama clouds kwa zaidi ya 5hrsHuyu mzee aliniudhi wakati wa campaign za 2000 alivyokuwa akirusha vipindi kuonyesha mauaji ya Rwanda eti tukichagua vyama vingi tutakuwa kama Rwanda. Nadhani alifanya hivyo ili aendelee bila kufuatiliwa na watawala.