TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

Poleni wana familia ndugu na jamaa kwa kuondokewa na mzee Mengi. Alisaidia watu wengi alikuwa na moyo wa upendo na kupenda kusaidia kwa Mali na mawazo
 
Kwa hakika u mavumbi wewe, na mavumbini utarejea pumzika kwa amani Reginald Abraham Mengi,umeitwa na baba yako na we umeitika, anakupenda sana,hutarejea kamwe
 
Rest in peace mengi

Mwenye number za kyln
Naomba jaman
 
Lala salama mzee Mengi. Wewe ni Kati ya wachache ndani ya nchi hii na dunia kwa ujumla uliyetufunza kwamba kila mwanadamu anaweza kufanya Jambo la maana kama akijitambua na kuchukua uamuzi. Nmesikikitika sana, ni juzi ulikuwa na mkuu wetu wa mkoa wa Dar, sasa sijui kwa nn haya yametokea.
Hujui kwa nini haya yametokea kwa sababu juzi alikua na Bashite? Unataka kutwambia nini??
 
Mwenyezi Mungu amlaze pema peponi alikuwa mpenda maendeleo na mwenyehuruma na wasiojiweza.
 
Hapo ndo umeshalianzisha hivo! Magazeti yakianza kuhusisha kifo cha mzee wetu Mengi na mambo ya Freemasons na wewe utakuwa umeshiri kuikuza hiyo dhana.
 
Back
Top Bottom