danikiruma
Senior Member
- Feb 25, 2019
- 101
- 76
Rest in peace
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo "nyimbo ya"!!! Andika wimbo wa...!!!I dedicate nyimbo ya 'My Way' by Sinatra kuusindikiza huu uzi
Hujui kwa nini haya yametokea kwa sababu juzi alikua na Bashite? Unataka kutwambia nini??Lala salama mzee Mengi. Wewe ni Kati ya wachache ndani ya nchi hii na dunia kwa ujumla uliyetufunza kwamba kila mwanadamu anaweza kufanya Jambo la maana kama akijitambua na kuchukua uamuzi. Nmesikikitika sana, ni juzi ulikuwa na mkuu wetu wa mkoa wa Dar, sasa sijui kwa nn haya yametokea.
Hivyo alikuwa na Jack,twins,Regina na mdogo wake? Mbona wanasema alikuwa Dubai kwa matibabu?
Umechemsha. Sina chama wala itikadiOneni aina ya wanachama wenu ndo hawa. Kama anakosa utu unadhani atakuwa mwanadamu huyu au binadamu.
Stem cell rejuvenation ni moja ya mkakati wa kuimarisha afya na kuongeza kuishi uzeeni.hiyo stem cell and genetic engineering ni nini ? madokta wa JF mtueleze nime google hamna maelezo ya kueleweka