Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
hahaha mkuu, kabisa unadhani mengi kwa sababu ni mmiliki basi alirusha yeye hiko kipindi ? wafanyabiashara wako busy mno unaezakuta joe kusaga anamaliza week nzima hajatazama clouds kwa zaidi ya 5hrsHuyu mzee aliniudhi wakati wa campaign za 2000 alivyokuwa akirusha vipindi kuonyesha mauaji ya Rwanda eti tukichagua vyama vingi tutakuwa kama Rwanda. Nadhani alifanya hivyo ili aendelee bila kufuatiliwa na watawala.
Hivyo alikuwa na Jack,twins,Regina na mdogo wake? Mbona wanasema alikuwa Dubai kwa matibabu?Mengi was in Dubai for Vacation. It seems mengi had a heart attack. Two days he fell down while he and the family were touring,was taken to the hospital,kept in for a day or so and released. Last night they had a meal and thereafter around 6pm he had severe chat pains.They took him to the hospital but did not make it. Regina and her brother are also in Dubai.
May be the effects of the procedures were worse. Kupandikizwa cell mpya,cell zikizeeka zimezeeka.RIP Mengi. Kupandikiza vinasaba tena? Has stem cells engineering technology confirmed to help some of these diseases we suffer? Was it a reason?
You are right... Ni kwa tasnia zote za maendeleo kiukweli tumepoteza mhimili mkubwa sanaMkuu Joseverest,sio loss kwa Media tuu,ni kwa Tanzania yote na kwa Watanzania wote. Amin amin nakwambia ni mamilioni ya Watanzania walioguswa ama moja kwa moja ama indirect na maisha ya Mzee Mengi.
Hakika Tanzania tumepoteza kweli kweli.
R.I.P Mzee R. Mengi.
May be the effects of the procedures were worse. Kupandikizwa cell mpya,cell zikizeeka zimezeeka.
yeye mwenyewe ndo alisema hivyo?Hata mimi siujui...naulizia tu stem cells ni tiba ya nini maana iko tweet ambayo aliiandika ikisema anatarajia kufanya hivyo
Du!,umeamua haswaa!Mungu hayupo, ishi kwa hofu kimpango wako, ila usibughudhi wenzio kwa imani zako
Watu wenye shida hapa Duniani na wanaoishi maisha mabovu ndio huwa mnaamini kuna Mungu mkijifariji eti mkifa na nyie mta enjoy maisha, huku mkiwa na hasira na watu wanaoishi vizuri kana kwamba ndio wamewaletea huo umasikini
Acha hasira ndugu, Mungu hayupo
Mengi was in Dubai for Vacation. It seems mengi had a heart attack. Two days he fell down while he and the family were touring,was taken to the hospital,kept in for a day or so and released. Last night they had a meal and thereafter around 6pm he had severe chat pains.They took him to the hospital but did not make it. Regina and her brother are also in Dubai.
Inawezekana ni weweyeye mwenyewe ndo alisema hivyo?