Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Kwenye issue ya CAG unataka kusemajeNoted....
Jamaa alikua smart coz wahasibu bhana wakipataga fursa huwa wanazitumia vizuri. Sina huhakika kipindi chao Kama walikua na pressure ya GAG
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye issue ya CAG unataka kusemajeNoted....
Jamaa alikua smart coz wahasibu bhana wakipataga fursa huwa wanazitumia vizuri. Sina huhakika kipindi chao Kama walikua na pressure ya GAG
This is critical allegationInasemekana alikopa 100m kutoka benki kuu na alicheza na baadhi ya watumishi benki kupoteza ushahidi.
Kuna mtu hapo aliuliza kama likwapua?ndio nikaandika inasemana.Hii hoja imeingiaje hapa ?
Sina neno mkuu...vip kuna kitu kimekosewa?Kwenye issue ya CAG unataka kusemaje
Hivi ni sifa kila mtu mwenye mafanikio kiuchumi kusema ametokea maisha ya kimaskini. Maana imekuwa kama chorus siku hizi.This is critical allegation
Coz CV yake inavyosomwa inaonekana jamaa alikua honest and hard worker. Raised from the humble bigning to the horizon
Hata hivyo background za matajiri wengi Kuna mahala pa U -turn za maisha yao huwa zinaacha gap ambayo maelezo huwa hayajitosherezi
Mtu binafsi anawezaje kukopa bank kuu?Inasemekana alikopa 100m kutoka benki kuu na alicheza na baadhi ya watumishi benki kupoteza ushahidi.
Nimeuliza tu kutaka kujua mpendwa wangu. Kuwa na amaniKuna mtu hapo aliuliza kama likwapua?ndio nikaandika inasemana.
Japo mleta uzi alitaka kujua kuhusu dr.kama umekwazika samahani.
Nkahisi kukosekana kwa pressure za cag kukasababisha mzee alale mbele za vijisentiSina neno mkuu...vip kuna kitu kimekosewa?
Aaaaaaa h...Hivi ni sifa kila mtu mwenye mafanikio kiuchumi kusema ametokea maisha ya kimaskini. Maana imekuwa kama chorus siku hizi.
Hivi Jiwe akisema aandike kitabu kama kile cha I can I must I will si itakuwa hatari maana historia yake haijanyooka kabisa hasa sababu za yeye kuondolewa seminari.Aaaaaaa h...
Kibongo bongo ukitaja hiyo kitu unaonekana bonge la fighter
Ila majuu kwa Dolnad Trump huo ni muujiza kutusua from the scratch.
Kule kama umezaliwa from the loyal family always u will be
Even if will be the case....Nkahisi kukosekana kwa pressure za cag kukasababisha mzee alale mbele za vijisenti
Ndio wafanyabiashara wakopaji wa mwanzo,mbona yule muhuindi alikuwa anaitwa lord rajeepar ndio aliyeanza kuvuma kwa utajiri yeye na Bhakhresa kabla ya hayati Mengi.lkn lord Rajeepar alishikiwa.Mtu binafsi anawezaje kukopa bank kuu?
Hakuna taabu ni tupashana habari tu.jamii forum ni familia moja.Uwe na wakati mwema na wewe.Nimeuliza tu kutaka kujua mpendwa wangu. Kuwa na amani
Hivi Jiwe akisema aandike kitabu kama kile cha I can I must I will si itakuwa hatari maana historia yake haijanyooka kabisa hasa sababu za yeye kuondolewa seminari.
Msalimie sana chupaki na mama yakeHakuna taabu ni tupashana habari tu.jamii forum ni familia moja.Uwe na wakati mwema na wewe.
Mhh chupaki yupo chuo akirudi atazikuta salam zake.Msalimie sana chupaki na mama yake
Udaktari wa heshima, sio wa kusomea, katika mambo ya Utu (Humanity).Yule ni mhasibu. Ndiye alikuwa mhasibu mwenye registration no 1 kwenye orodha ya wahasibu. Ina maana yeye ndiye mtu wa kwanza kusajiliwa kama mhasibu hapa Tz na bodi ya wahasibu NBAA.
So huenda PhD yake ikawa kwenye haya haya mambo ya fedha na uhasibu (Finance and Accounts).
Nami naona kuna kitu anatafutaKwenye issue ya CAG unataka kusemaje