TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

Huyu mzee alikuwa mtanzania wa kwanza kutambulika na bodi ya wahasibu ya uingereza na pia alivyorudi Tanzania alifanya kazi ya uhasibu na baada ya miaka michache ilipoanzishwa bodi ya wakaguzi na wahasibu kwa tanzanja yeye ndie alikuwa mwanachama wa kwanza mwenye namba ya usajili 0001 baada ya kufanya na kufaulu mitihani ya cpa tanzania, Mwalimu nyerere alimpa madaraka ya kuongoza bodi ya wakaguzi na wahasibu (NBAA) mwaka 1985 akaachia ngazi mwaka 2000 na kuendelea na biashara zake.
Thanks
Umetupa mwanga mzuri
Nimeiona fursa aliyokuwa nayo ili kutusua maishani.

Smartness, hard working, humbleness and knowledge
 
Mkuu walikua na wanasheria kila kitu kiko well documented na watoto wake wanafanyakazi pale wanajua kila kitu kuhusu management
Labda hapa patasaidia.
FB_IMG_1556956378866.jpeg
 
Na ndo maana tunaambiwa ombeni nanyi mtapewa, sio vibaya kumuombea bunadamu mwezako heri na fanaka katika jambo lolote lile!!
Mkuu unaomba kitu ambacho kinawezekana,hilo haliwezekani,why should you do it.Sio kila ombi linasikilizwa,hilo ombi ni so unspiritual.Ndio maana nikasema ni unafiki.Halafu ni vema tukakumbuka kwamba Mungu
hasikilizi maombi ya mtu mwenye dhambi,so kama wewe unajijua ni mwenye dhambi,you better don't pray for anybody,kwa kuwa maombi yako ni kama kelele mbele za Mungu,hayatasikilizwa.The Bible says: “But your iniquities have separated you from your God; your sins have hidden His face from you, so that He will not hear” (Isaiah 59:2).
 
Nimejifunza kitu kwa msiba huu.

Utajiri wako kama hauna impact kwa watu wanaokuzunguka ni bure tu/hamna kitu.

RIP Mzee Mengi,pesa zako zilisaidia watu wenye mahitaji tofauti tofauti kwenye jamii.
 
Mkuu unaomba kitu ambacho kinawezekana,hilo haliwezekani,why should you do it.Sio kila ombi linasikilizwa,hilo ombi ni so unspiritual.Ndio maana nikasema ni unafiki.Halafu ni vema tukakumbuka kwamba Mungu
hasikilizi maombi ya mtu mwenye dhambi,so kama wewe unajijua ni mwenye dhambi,you better don't pray for anybody,kwa kuwa maombi yako ni kama kelele mbele za Mungu,hayatasikilizwa.
Hivi kuna mtu ambae hana dhambi dunia hii?....
 
Hivi kuna mtu ambae hana dhambi dunia hii?....

Hivi kuna mtu ambae hana dhambi dunia hii?....
Ni swali zuri sana Diana.Biblia katika Yohana 9:31 inasema hivi,
“Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watu wenye dhambi." Na pia
katika Isaya 59:2 tunaona maandiko haya: “But your iniquities have separated you from your God; your sins have hidden His face from you, so that He will not hear” (Isaiah 59:2).So ni kweli kwamba Mungu hawasijilizi wenye dhambi.Sasa swali lako ni kwamba hivi wapo watu ambao hawana dhambi?Jibu ni ndio,ila ni wale tu ambao wamemkiri Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao.Hawa wanasamehewa dhambi zao kwa kuwa Bwana Yesu alizichujuwa alipowambwa msalabani.Hawa ni watakatifu kwa kuwa utakatifu walio nao si wao,ila ni wa Bwana Yesu mwenyewe,so Mungu anapowaangalia hawaoni wao,ila anamuona Bwana Yesu ambaye wamemkiri kwamba amechukua dhambi zao msalabani.Wewe kama hujamkiri Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako Mungu anakuona wewe na dhambi zako!Mkiri Bwana Yesu leo Diana ili usamehewe dhambi zako na Mungu akuone kwamba ni mtakatifu wake.
 
Familia ya Mengi buana, yaani wanaomhusu wameisha tayari.

Sasa Abdiel Mengi anajishughulisha na nini? Jack ni mkurugenzi na Regina ni mkurugenzi. Abdiel hasomeki hapo
Screenshot_20190505-224032.jpeg
Screenshot_20190505-225008.jpeg
FB_IMG_1557086385394.jpeg
FB_IMG_1557086708255.jpeg
 
Mkuu unaomba kitu ambacho kinawezekana,hilo haliwezekani,why should you do it.Sio kila ombi linasikilizwa,hilo ombi ni so unspiritual.Ndio maana nikasema ni unafiki.Halafu ni vema tukakumbuka kwamba Mungu
hasikilizi maombi ya mtu mwenye dhambi,so kama wewe unajijua ni mwenye dhambi,you better don't pray for anybody,kwa kuwa maombi yako ni kama kelele mbele za Mungu,hayatasikilizwa.The Bible says: “But your iniquities have separated you from your God; your sins have hidden His face from you, so that He will not hear” (Isaiah 59:2).
Acha kupotosha
Logic yako ya kuwa Mungu hasikilizi maombi ya wenye dhambi si kweli

Hiyo ni sawa na kusema Mungu hasikilizi maombi ya mtu yoyote

Kwa maana Yesu mwenyewe anasema mahali fulan "wote tumefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu "

Mahali pengine anasema "Mtakatifu ni mmoja tu "
 
Nimejifunza kitu kwa msiba huu.

Utajiri wako kama hauna impact kwa watu wanaokuzunguka ni bure tu/hamna kitu.

RIP Mzee Mengi,pesa zako zilisaidia watu wenye mahitaji tofauti tofauti kwenye jamii.
Kuna watu watakumbukwa kwa kuingiza watu mpirani bure! Wakitutoka hatuna walichotuachia zaidi ya familia zao kuhamia ulaya au Canada.

MENGI, unastahili sifa za uhai wako.
 
Kulia msibani wala sio Unafiki,mtu unaweza kwenda kwenye msiba wa ADUI yako na machozi yakakutoka Sio kwamba ni unafki ila Mtu anapolia kuna vingi vinavyomliza Tuelewe tu kua sio kila anaetoa machozi msibani Machozi yale yanamlilia marehemu,wengine msiba ule huwakumbusha wapendwa zao waliotangulia so nayeye anajikuta anamkumbuka mtu wake so chozi linatoka.

Kuwaita watu wanaolia msibani wanafki sidhani kama ni vizuri,hujui mtu analia sababu gani ila unamuita mnafki (who are you) Ni Mungu pekee ndiye ajuae mliaji ni mnafki au si mnafki..na wala hamna binadamu ajuae..Tuache jiongelesha tu Ukiwa msibani wewe unae angalia Mtu anaelia REAL na mtu anaelia FAKE wewe Ndio MNAFKI NAMBARI ONE maaana umeenda kuchunguza watu na hujaenda fatilia msiba.
 
Yametokea tunasikitika; ila Mzee kwa hali ya afya yake ilivyokuwa na umri pia angetakiwa kuwa anasafiri na Daktari na Msaidizi wake wa karibu.
 
Back
Top Bottom