TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

Samahani wakuu naomba kujua tangu maombolezo yaanze ya ndugu yetu R. A. Mengi tar 2 mei, waziri mkuu mstaafu E. Lowassa yupo wapi mbona sijamuona hata kusikia salamu zake?

Na kama alijitokeza pengine mimi ndio sijamuona au kumsikia mniwie radhi wakuu!
 
Mungu mwingi wa Rehema na ampe pumziko la milele katika shamba lake😤
 
Samahani wakuu naomba kujua tangu maombolezo yaanze ya ndugu yetu R. A. Mengi tar 2 mei, waziri mkuu mstaafu E. Lowassa yupo wapi mbona sijamuona hata kusikia salamu zake?

Na kama alijitokeza pengine mimi ndio sijamuona au kumsikia mniwie radhi wakuu!


Nawe umekosa cha kuuliza aisee😳😳
 


"Khadija Kopa akiacha pengo itaendelea taarabu? Komba naye akianguka itaendelea kwaya? Achimenengule Band wenzake si wataigwaya? Huwa nawaza sana siku akitutoka Ndugu Mengi,nani ataziba pengo na huyu kipenzi cha wengi?" - Waswahili PENGO 2003.
 
Back
Top Bottom