Mwenyekiti Simba atajwa kuwa kikwazo kwa MO

Haya kila la kheri kwenu ili msimu ujao twende sawa msiwe na kisingizio. Nimesikia Ses.
Shadeeya mamii leo hii wa kutoa visingizio imekua ni Simba tena!? Simba hii hii machampioni wa ligi ya bara, Simba hii hii wana robo fainali ligi ya mabingwa Afrika!? Au Simba ipi unayoizungumzia?πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Shadeeya mamii leo hii wa kutoa visingizio imekua ni Simba tena!? Simba hii hii machampioni wa ligi ya bara, Simba hii hii wana robo fainali ligi ya mabingwa Afrika!? Au Simba ipi unayoizungumzia?πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Hahaaa. Nimemaanisha msije pata visingizio sababu ya migogoro inayoanza sasa. Na hapa nasemea msimu ujao na si uliopita maana hizi kukuru kakara mwishowe hamtakuwa na la kufanya zaidi kujikita kwenye migogoro.
 
KUNA MAWILI KICHWANI MWAKO AMA HUELEWI HISA NI NINI AU MBUMBUMBU
 
Hahaaa. Nimemaanisha msije pata visingizio sababu ya migogoro inayoanza sasa. Na hapa nasemea msimu ujao na si uliopita maana hizi kukuru kakara mwishowe hamtakuwa na la kufanya zaidi kujikita kwenye migogoro.
Haya basi tuungane pamoja kumlaani na kumkemea shetani ili bundi asitue Msimbazi.

Mechi inayokuja kati yetu na nyie tuone pambano safi na sote tuiwakilishe nchi kwenye michuano ya kimataifa kwa mafanikio, au wasemaje Shadeeya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…