Inaonekana hujui chochote kuhusu biashara na uwekezaji?!! Kwa kukupa taarifa kidogo ni kwamba Simbasc upande wa wanachama,wana hisa jumla 51%lakini walizo kubaliana kwa sasa kuziingiza kwenye uwekezaji ni 11%,na mgawanyo wake uko hivi :waasisi wa club wamepewa 1%wanachama wengine ni10%.mwekezaji yeye anabaki na asilimia zake 49.ndio maana unaona kwa sasa mwenyekiti wa board ni mwekezaji maana kwa sasa yeye ndo ana hisa nyingi kwa sasa.na katika biashara ya hisa ni ngumu kupora hisa kama unavyofikilia!!unaporaje kwa mfano?!! Nafikili wengi hawaelewi biashara na uwekezaji.