Proffesor
JF-Expert Member
- Aug 13, 2014
- 2,164
- 2,968
Mo mswahili yule....
Binafsi nimeshangaa mtu kama Mo kulia lia kwenye mitandao. Ama kweli pesa sio kila kitu. Mo ana akili za kitoto na nimefikiria bila pesa za urithi asingeweza kusimama yeye kama Yeye.