MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Hamna maajabu yote yale yale ya kale.Kwa 'nyepe nyepe' nilizonazo huenda 'Visiki' Viwili muhimu sana Vikang'olewa mahala.
Nilipoona tu 'Mafia' ninayemkubali Simba SC nzima Kassim Dewji karithi Mikoba ya 'Mafia' Zachariah Hanspoppe nikajua kuna Watu wanaenda Kuumia, Kulia na hawatoamini.
Yaani ninapoona mtu mzima,bilashaka msomi anadanganywa huwa namdharau sana.Kwa 'nyepe nyepe' nilizonazo huenda 'Visiki' Viwili muhimu sana Vikang'olewa mahala.
Nilipoona tu 'Mafia' ninayemkubali Simba SC nzima Kassim Dewji karithi Mikoba ya 'Mafia' Zachariah Hanspoppe nikajua kuna Watu wanaenda Kuumia, Kulia na hawatoamini.
Aucho tayari ni mwana msimbazi chukua haya maneno yangu. Nadhani hujawahi kuniona nachangia kwenye habari za sport ila hili lipo wazi.Mashabiki wa Makolo wanahitaji matibabu ya Usonji
Mkuu Aucho ni mwana msimbazi kwenye dirisha hili dogo.Yaani ninapoona mtu mzima,bilashaka msomi anadanganywa huwa namdharau sana.
Nimekuita msomi si kua labda umesoma,hapana,ni kwakua umesoma huko ulikosoma au kusikia na kuweza kiandika hapa.
Yaani wewe unaamini kuna usajili utakaofanyika dirisha dogo utakaotisha!?
Simba tayari inawachezaji 12 wanaohitajika kikanuni!. Huo usajili ni upi!?
Wanamuacha nani ili wamsajili nani!?
Unadanganywa kuna visiki vitatoka mahali ili kwenda Simba,hao wenye hivyo visiki hawajitambui!?
Yaani mnaburuzwa tu. Vi propaganda vya kipumbavu mnavileta hapa kwa watu wanaofikiri sawasawa!?
Acha utoto.
Nikweli hajawahi kuwa tishio kwa mpira wa tz! Na isingependeza kamwe awe tishio kwa mpira wa nchi hii! Ila kwa utopolo tu! Lazma muhanyehanye sana tu.Kasim Dewji ni mafia katika kutengeneza jezi feki na kuiba mapato ya Simba. Ila hajawahi kuwa tishio katika mpira wa Tanzania kwa namna yoyote.
Sema fei wakawaida tuMsiingize mada ya Aucho ndugu zangu,Aucho tayari ni mchezaji halali wa Simba.kwasasa tujadili kuhusu umafia wa kuwanyakua Feitoto na Yanick Bangala Litombo.
Dah!Mkuu Aucho ni mwana msimbazi kwenye dirisha hili dogo.
Mnatia huruma,timu hamna,pesa hamna basi mnatembelea kiki tu nowdays,asa pesa ya kumsajili Aucho mnaitoa wapi?Kwa 'nyepe nyepe' nilizonazo huenda 'Visiki' Viwili muhimu sana Vikang'olewa mahala.
Nilipoona tu 'Mafia' ninayemkubali Simba SC nzima Kassim Dewji karithi Mikoba ya 'Mafia' Zachariah Hanspoppe nikajua kuna Watu wanaenda Kuumia, Kulia na hawatoamini.
Mnapenda kujifarijiMkuu Aucho ni mwana msimbazi kwenye dirisha hili dogo.
Labda Aucho wa buza au Aucho yule rafiki wa Mo 🤣🤣🤣Msiingize mada ya Aucho ndugu zangu,Aucho tayari ni mchezaji halali wa Simba.kwasasa tujadili kuhusu umafia wa kuwanyakua Feitoto na Yanick Bangala Litombo.