NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Umafia tu wala akuna shida ya wachezaji pale lunyasi.Sema fei wakawaida tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umafia tu wala akuna shida ya wachezaji pale lunyasi.Sema fei wakawaida tu
Wasamehe bure awajui wanachokiongea, wamejazana ujinga na siku zote mwehu anapokimbia na nguo zako usimfukuze wewe ndo utaonekana ni mwehu, acha waendelee kubwataYaani ninapoona mtu mzima,bilashaka msomi anadanganywa huwa namdharau sana.
Nimekuita msomi si kua labda umesoma,hapana,ni kwakua umesoma huko ulikosoma au kusikia na kuweza kiandika hapa.
Yaani wewe unaamini kuna usajili utakaofanyika dirisha dogo utakaotisha!?
Simba tayari inawachezaji 12 wanaohitajika kikanuni!. Huo usajili ni upi!?
Wanamuacha nani ili wamsajili nani!?
Unadanganywa kuna visiki vitatoka mahali ili kwenda Simba,hao wenye hivyo visiki hawajitambui!?
Yaani mnaburuzwa tu. Vi propaganda vya kipumbavu mnavileta hapa kwa watu wanaofikiri sawasawa!?
Acha utoto.
Kwa hiyo nyinyi tu ndio mna haki ya kuanzisha tetesi za kuwasajili wachezaji wenye uhusiano na simba? Siku ya wananchi mlisema Miqssoine atakuwa suprise, siku za nyuma na sasa mshasema Chama atatua hapo utopoloni, lakini wanamsimbazi wakisema mchezaji wenu tegemeo atatua msimbazi mnaanza kulia lia. Tulia utopolo wacha kulia lia mpira ni biashara na chochote kinaweza kutokea.Yaani ninapoona mtu mzima,bilashaka msomi anadanganywa huwa namdharau sana.
Nimekuita msomi si kua labda umesoma,hapana,ni kwakua umesoma huko ulikosoma au kusikia na kuweza kiandika hapa.
Yaani wewe unaamini kuna usajili utakaofanyika dirisha dogo utakaotisha!?
Simba tayari inawachezaji 12 wanaohitajika kikanuni!. Huo usajili ni upi!?
Wanamuacha nani ili wamsajili nani!?
Unadanganywa kuna visiki vitatoka mahali ili kwenda Simba,hao wenye hivyo visiki hawajitambui!?
Yaani mnaburuzwa tu. Vi propaganda vya kipumbavu mnavileta hapa kwa watu wanaofikiri sawasawa!?
Acha utoto.
Simba itakuwa na wachezaji 50 sasa! Mana kila mchezaji anatakiwa Simba, daah! Wakati wenzenu wanasajili wachezaji nyie mnasjili vitoto!Umafia tu wala akuna shida ya wachezaji pale lunyasi.
Kasim Dewji ni mafia katika kutengeneza jezi feki na kuiba mapato ya Simba. Ila hajawahi kuwa tishio katika mpira wa Tanzania kwa namna yoyote.
Mzee Onyango ni mtoto yule?Simba itakuwa na wachezaji 50 sasa! Mana kila mchezaji anatakiwa Simba, daah! Wakati wenzenu wanasajili wachezaji nyie mnasjili vitoto!
Aucho tayari ni mwana msimbazi chukua haya maneno yangu. Nadhani hujawahi kuniona nachangia kwenye habari za sport ila hili lipo wazi.
Aucho ana mkataba wa miezi 6 na Yanga hivyo tayari yupo huru kusajiliwa na club yoyote.Tayari ameshafanya mazungumzo ya awali na timu jieani.
Utopolo unawasumbua.Tulihakikishiwa hivi hivi tena na Mchezaji, Injinia Hersi Said na Makamu Mwenyekiti wenu Fredrick Mwakalebela kuwa Bernard Morrison ni Mali ya Yanga SC ( Mazuzu FC ) je, leo yuko wapi?
Boss Mo atatoa pesa, sisi Simba ni matajiriMnatia huruma,timu hamna,pesa hamna basi mnatembelea kiki tu nowdays,asa pesa ya kumsajili Aucho mnaitoa wapi?
Tunafanya kama Bayern Munich[emoji16]Sisi tukichukua wachezaji toka Utopolo wakija tunawaweka benchi.
Nikitafakari sijawahi kuona mchezaji toka Utopolo akaja Simba akacheza kwa ufanisi ni hakuna.
Angekuwa mafya ndg yake asingetekwa.Hamna kitu hapo,Mafya ameshakufa HanspopeTunaanza umafia game ya taree 11 mtu anaenda kula 5G mchana kweupe
Feisal atafute wakala mzuri aende kucheza soka nje ya nchi au hata nje ya Africa ikiwezekana kama sio Ulaya magharibi basi iwe Uturuki.Msiingize mada ya Aucho ndugu zangu,Aucho tayari ni mchezaji halali wa Simba.kwasasa tujadili kuhusu umafia wa kuwanyakua Feitoto na Yanick Bangala Litombo.
Thaddeo Lwanga ameshakuwa garasa?Aucho tayari ni mwana msimbazi chukua haya maneno yangu. Nadhani hujawahi kuniona nachangia kwenye habari za sport ila hili lipo wazi.
Aucho ana mkataba wa miezi 6 na Yanga hivyo tayari yupo huru kusajiliwa na club yoyote.Tayari ameshafanya mazungumzo ya awali na timu jieani.