Mwenyekiti Simba SC Mangungu: Nchi itasimama Dirisha dogo la Usajili

Mwenyekiti Simba SC Mangungu: Nchi itasimama Dirisha dogo la Usajili

Yaani ninapoona mtu mzima,bilashaka msomi anadanganywa huwa namdharau sana.

Nimekuita msomi si kua labda umesoma,hapana,ni kwakua umesoma huko ulikosoma au kusikia na kuweza kiandika hapa.

Yaani wewe unaamini kuna usajili utakaofanyika dirisha dogo utakaotisha!?
Simba tayari inawachezaji 12 wanaohitajika kikanuni!. Huo usajili ni upi!?
Wanamuacha nani ili wamsajili nani!?
Unadanganywa kuna visiki vitatoka mahali ili kwenda Simba,hao wenye hivyo visiki hawajitambui!?

Yaani mnaburuzwa tu. Vi propaganda vya kipumbavu mnavileta hapa kwa watu wanaofikiri sawasawa!?

Acha utoto.
Wasamehe bure awajui wanachokiongea, wamejazana ujinga na siku zote mwehu anapokimbia na nguo zako usimfukuze wewe ndo utaonekana ni mwehu, acha waendelee kubwata
 
Yaani ninapoona mtu mzima,bilashaka msomi anadanganywa huwa namdharau sana.

Nimekuita msomi si kua labda umesoma,hapana,ni kwakua umesoma huko ulikosoma au kusikia na kuweza kiandika hapa.

Yaani wewe unaamini kuna usajili utakaofanyika dirisha dogo utakaotisha!?
Simba tayari inawachezaji 12 wanaohitajika kikanuni!. Huo usajili ni upi!?
Wanamuacha nani ili wamsajili nani!?
Unadanganywa kuna visiki vitatoka mahali ili kwenda Simba,hao wenye hivyo visiki hawajitambui!?

Yaani mnaburuzwa tu. Vi propaganda vya kipumbavu mnavileta hapa kwa watu wanaofikiri sawasawa!?

Acha utoto.
Kwa hiyo nyinyi tu ndio mna haki ya kuanzisha tetesi za kuwasajili wachezaji wenye uhusiano na simba? Siku ya wananchi mlisema Miqssoine atakuwa suprise, siku za nyuma na sasa mshasema Chama atatua hapo utopoloni, lakini wanamsimbazi wakisema mchezaji wenu tegemeo atatua msimbazi mnaanza kulia lia. Tulia utopolo wacha kulia lia mpira ni biashara na chochote kinaweza kutokea.
 
Kwakwel makolo mna usonji uliopitiliza na kiongozi wenu anayezidi kuvuruga akili zenu zilivovurugika ni huyu chizi wenu KEROZENE .
 
Aucho tayari ni mwana msimbazi chukua haya maneno yangu. Nadhani hujawahi kuniona nachangia kwenye habari za sport ila hili lipo wazi.

Aucho ana mkataba wa miezi 6 na Yanga hivyo tayari yupo huru kusajiliwa na club yoyote.Tayari ameshafanya mazungumzo ya awali na timu jieani.

Wewe mzima kiakili kweli ?

 
Tulihakikishiwa hivi hivi tena na Mchezaji, Injinia Hersi Said na Makamu Mwenyekiti wenu Fredrick Mwakalebela kuwa Bernard Morrison ni Mali ya Yanga SC ( Mazuzu FC ) je, leo yuko wapi?
Utopolo unawasumbua.

Huyo Aucho hsna namba ya kucheza pale Simba. Afadhali Chama harudi aje aokoe jahazi na sio hao vilaza
 
Mpira wa bongo utopolo mtupu...

Yaani timu zinasajili kila dirisha la usajili...sasa sijui timu zinajengwa muda gani!!!
 
Sisi tukichukua wachezaji toka Utopolo wakija tunawaweka benchi.

Nikitafakari sijawahi kuona mchezaji toka Utopolo akaja Simba akacheza kwa ufanisi ni hakuna.
 
Sisi tukichukua wachezaji toka Utopolo wakija tunawaweka benchi.

Nikitafakari sijawahi kuona mchezaji toka Utopolo akaja Simba akacheza kwa ufanisi ni hakuna.
Tunafanya kama Bayern Munich[emoji16]
 
Msiingize mada ya Aucho ndugu zangu,Aucho tayari ni mchezaji halali wa Simba.kwasasa tujadili kuhusu umafia wa kuwanyakua Feitoto na Yanick Bangala Litombo.
Feisal atafute wakala mzuri aende kucheza soka nje ya nchi au hata nje ya Africa ikiwezekana kama sio Ulaya magharibi basi iwe Uturuki.
 
Aucho tayari ni mwana msimbazi chukua haya maneno yangu. Nadhani hujawahi kuniona nachangia kwenye habari za sport ila hili lipo wazi.

Aucho ana mkataba wa miezi 6 na Yanga hivyo tayari yupo huru kusajiliwa na club yoyote.Tayari ameshafanya mazungumzo ya awali na timu jieani.
Thaddeo Lwanga ameshakuwa garasa?

Vv
 
Back
Top Bottom