dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 6,580
- 15,739
Sasa atakayetoa pesa Mo au Simba?Boss Mo atatoa pesa, sisi Simba ni matajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa atakayetoa pesa Mo au Simba?Boss Mo atatoa pesa, sisi Simba ni matajiri
Wewe unamsemea ila yeye hana izo fikra pengine,ulaya miaka 17/21 Fei atazeekea bongo nyoso asiposhtukaFeisal atafute wakala mzuri aende kucheza soka nje ya nchi au hata nje ya Africa ikiwezekana kama sio Ulaya magharibi basi iwe Uturuki.
Akipata wakala mzuri anachomoka.Wewe unamsemea ila yeye hana izo fikra pengine,ulaya miaka 17/21 Fei atazeekea bongo nyoso asiposhtuka
Na kamati ya usajili wana makamba tu january. Tutawapongeza wakifanya vizuri na tutawasema wakifanya vizuri. Usajiri wa Simba umevurunda na ndio maana mechi ambayo new signed players hawajacheza Simba ameshinda 3Huwa tunawasubiri nyie Mazuzu ( Yanga SC ) mtusajilie kisha Sisi wenye Pesa tuje Kuchukua tu Kiulaini kama tulivyofanya kwa Wakili Msomi Bernard Morrison.
Mnakalia ujinga tu na ushabiki wa kisenge.Hamna akili nyote.Kwa 'nyepe nyepe' nilizonazo huenda 'Visiki' Viwili muhimu sana Vikang'olewa mahala.
Nilipoona tu 'Mafia' ninayemkubali Simba SC nzima Kassim Dewji karithi Mikoba ya 'Mafia' Zachariah Hanspoppe nikajua kuna Watu wanaenda Kuumia, Kulia na hawatoamini.
Hawa ni wasenge tu ,mapumbavu,mapunga matupuHa ha ha ha ha. Baada ya kuona hamna timu ya kupeleka uwanajani tarehe 11, Sasa naona mmeamua kuwekeza kwenye propaganda.
Mngejua kitu kizito gharib alichowaandalia,makolo hata nguvu ya kuleta pumba mitandaoni msingekua naoUmafia tu wala akuna shida ya wachezaji pale lunyasi.
[emoji23][emoji23]Kwa hiyo nyinyi tu ndio mna haki ya kuanzisha tetesi za kuwasajili wachezaji wenye uhusiano na simba? Siku ya wananchi mlisema Miqssoine atakuwa suprise, siku za nyuma na sasa mshasema Chama atatua hapo utopoloni, lakini wanamsimbazi wakisema mchezaji wenu tegemeo atatua msimbazi mnaanza kulia lia. Tulia utopolo wacha kulia lia mpira ni biashara na chochote kinaweza kutokea.
Kuongeza ushindani zaidi wa namba sio mchezaji anakaa ku relax tu akijua yeye ndo yeye.Thaddeo Lwanga ameshakuwa garasa?
Vv
Yaani mnaburuzwa tu. Vi propaganda vya kipumbavu mnavileta hapa kwa watu wanaofikiri sawasawa!?
Acha utoto.
Wakati mwingine shida sio wakala shida inakua kwa wachezaji wenyewe wa kibongo,akishachezea Simba au Yanga hapo kwisha keshatimiza malengo,hata akipewa mchongo wa nje anakubali kujificha ili asiende.Akipata wakala mzuri anachomoka.
Wataongea wote lakini wewe ungekaa kimya kwanza. Ulisema pale Yanga hakuna mchezaji wa kupata Namba Simba, hao unaowataja wako Azam?Msiingize mada ya Aucho ndugu zangu,Aucho tayari ni mchezaji halali wa Simba.kwasasa tujadili kuhusu umafia wa kuwanyakua Feitoto na Yanick Bangala Litombo.