Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (CCM) Mkoa wa Geita , Manjale Magambo amesema uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajia kufanyika Novemba 27 Mwaka huu wanauita ni Uchaguzi maalumu ambao utakwenda kuvizika vyama vya upinzani.
Kauli hiyo ameitoa wakati akiwanadi Viongozi wagombea ngazi ya Mwenyekiti wa Mtaa na Vitongoji katika kata ya Kanyala na Kasamwa mjini Geita ambapo amesema chama kimejipanga kushinda Viti vyote vya Ugombea huku akiwataka Vijana kushiriki katika zoezi hilo ambalo linatarajiwa kuamuliwa na wananchi.
Kauli hiyo ameitoa wakati akiwanadi Viongozi wagombea ngazi ya Mwenyekiti wa Mtaa na Vitongoji katika kata ya Kanyala na Kasamwa mjini Geita ambapo amesema chama kimejipanga kushinda Viti vyote vya Ugombea huku akiwataka Vijana kushiriki katika zoezi hilo ambalo linatarajiwa kuamuliwa na wananchi.