LGE2024 Mwenyekiti UVCCM Mwanza: Hakuna siku nchi hii tutamaliza shida zote maana kila siku tunazidi kuongezeka

LGE2024 Mwenyekiti UVCCM Mwanza: Hakuna siku nchi hii tutamaliza shida zote maana kila siku tunazidi kuongezeka

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Naona UVCCM wanaendelea kutoa boko huko kwenye kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Unaendaje on stage kusema kuwa CCM haiwezi kumaliza matatizo yote? Mbona Serikali nyingine zimeweza? Maji na huduma za afya ndio mnaita matatizo yasiyoisha?

Soma pia: Mwanza: Wanafunzi na baadhi ya wananchi wasombwa kwa mabasi kupelekwa kwenye shughuli za mwenge na ziara ya Rais

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza, Seth Bernard Masalu, amesema kuwa:

"Niwakumbushe ndugu zangu hakuna siku nchi hii tutamaliza shida zote maana kila siku tunazidi kuongezeka lakini Serikali ya CCM inalitambua hilo na ndio maana tunafanya kazi kubwa kuhakikisha kwamba tunapata maendeleo"


 
Watu kuongezeka inamaana wazalishaji wa bidhaa wanaongezeka,walaji wa bidhaa wanaongezeka,wallpa kodi wanaongezeka,ajira zinaongezeka na mengine mengi,hivyo ongezeko la watu ni advantageous,kwani changamoto zinatatuliwa kiurahisi.
 
Ameongea ukweli.
Tunapaswa kuacha kuzaliana. Population ishuke toka 62m Hadi 40 ndo tunaishi vzr.

Huku bongo tegemezi ni wengi kuliko wazee.

Kama unataka UKOO wako ufute umaasiki zaa watoto wachache.
 
Angesema shida ndio mtaji wetu, tukimaliza shida zote kutakuwa hamna haja ya kampeni au uchaguzi
 
Back
Top Bottom