Mwenyekiti UVCCM wilaya ya Nyamagana, Peter Begga amesema angekuwa Waziri wa Tehama angeifungia Mitandao ya kijamii ya Instagram na X

Mwenyekiti UVCCM wilaya ya Nyamagana, Peter Begga amesema angekuwa Waziri wa Tehama angeifungia Mitandao ya kijamii ya Instagram na X

Kichwa Cha thread ndio utashi wa Mwenyekiti wa UVCCM Nyamagana kupitia ukurasa wake wa X

Yaani anatangaza Kufungia X kupitia ukurasa wake wa X 😂😂

Ila nimemwelewa ukishafungia X hutaacha itaendelea Kufungia Mitandao mingine yaani ni Sawa na kula Nyama ya mtu 🐼
WATENGENEZE YA KWAO NDO WAFUNGIE, HAJUI KWAMBA WATU WAMEJIAJIRI KUPITIA MITANDAO YA KIJAMII?
Ni shling ngapi za kodi nchi inakusanya kupitia mitandao ya kijamii?
hawa vijana wa hovyo wao wanaangalia kura na kula tuuuuuuuu baaasi
 
Back
Top Bottom