Mwenyekiti UVCCM wilaya ya Nyamagana, Peter Begga amesema angekuwa Waziri wa Tehama angeifungia Mitandao ya kijamii ya Instagram na X

WATENGENEZE YA KWAO NDO WAFUNGIE, HAJUI KWAMBA WATU WAMEJIAJIRI KUPITIA MITANDAO YA KIJAMII?
Ni shling ngapi za kodi nchi inakusanya kupitia mitandao ya kijamii?
hawa vijana wa hovyo wao wanaangalia kura na kula tuuuuuuuu baaasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…