Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mary Pius Chatanda amewataka Watanzania kuyapuuza maneno ya Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu na wawe na imani na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi.
Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Chatanda ameyasema hayo Alhamisi Februari 13, 2025 Wilayani Muheza mkoani Tanga alipokuwa akihamasisha Uandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura ulioanza tarehe 13 hadi 19 Februari, 2025 kwa mkoa wa Tanga na Pwani.
Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Chatanda ameyasema hayo Alhamisi Februari 13, 2025 Wilayani Muheza mkoani Tanga alipokuwa akihamasisha Uandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura ulioanza tarehe 13 hadi 19 Februari, 2025 kwa mkoa wa Tanga na Pwani.