Ila Lissu ni kama anapambana man alone sana, ndio kusema cdm imemtosa au wjat is going on? Au ni project yake binafsi??
Maana hata majukwaa yake ya kupigia kazi yamekaa kinyonhe nyongeeee kama muhubiri wa kilokoleee
Bwasheh wanao hao najuwa unawakubali sanaMwenyekiti wa Bavicha John Pambalu ametoa taarifa kuwa Kesho anaelekea Singida Kuungana na Makamu mwenyekiti mh Tundu Lissu
Pambalu na Timu yake wataanza kuonekana kwenye Mikutano ya Tundu Lissu Kesho Juni 10
Taarifa imetolewa ukurasani X
Mlale unono 😀
Honestly, this is bad. Very bad. Makam mwenyekiti hawez fanyiwa hiv halaf ionekane sawa tuView attachment 3013712
Mwenyekiti kazuia machawa wake kumpigia promo.
Kawekewa tofali za kupandia meza 😂Honestly, this is bad. Very bad. Makam mwenyekiti hawez fanyiwa hiv halaf ionekane sawa tu
Very bad aisee.. cdm haiwez aminika kwa mwendo huu hata iwejeKawekewa tofali za kupandia meza 😂
Washapewa pikipikiCCM hatunaga mbwembwe 🐼
Sahihi mikutano yenyewe analazimisha pesa za kuandaa mkutano hatoi ila za kusafiri na kulala mahotelini anazoKawekewa tofali za kupandia meza 😂
Ndivyo ilivyokuwa Wakati wa kudai Uhuru 🐼View attachment 3013712
Mwenyekiti kazuia machawa wake kumpigia promo.
Wapiga kura wa dhati wapo vijijini.Naona wameamua kuweka kambi porini mjini wamepuuzwa!
Wakuchagua ccm si chama chengine!Wapiga kura wa dhati wapo vijijini.
Jambo jema snMwenyekiti wa Bavicha John Pambalu ametoa taarifa kuwa Kesho anaelekea Singida Kuungana na Makamu mwenyekiti mh Tundu Lissu
Pambalu na Timu yake wataanza kuonekana kwenye Mikutano ya Tundu Lissu Kesho Juni 10
Taarifa imetolewa ukurasani X
Mlale unono 😀
Sahihi mikutano yenyewe analazimisha pesa za kuandaa mkutano hatoi ila za kusafiri na kulala mahotelini anazo
Duh, kumbe Lissu ana litumbo likubwa namna hii?View attachment 3013712
Mwenyekiti kazuia machawa wake kumpigia promo.
Mzee Freeman Aikael MboweAcha ujinga, mchaga Gani?
Mbowe ni kibaka kwa mujibu wa makada wa chadema wenyewePumbulu ni msaliti kwa Mbowe.
Ukombozi unaanzia ndani ya CHADEMA.Honestly, this is bad. Very bad. Makam mwenyekiti hawez fanyiwa hiv halaf ionekane sawa tu
Aaah hakuna bwana huu sio ukombozi, hizi harakati suicidal kabisa avunjike mguu tuanze kuwanyooshea vidole ccmUkombozi unaanzia ndani ya CHADEMA.
Tulimwqmbiagq muda tu kuwa wachagga wanatumia umaarufu wake tu na iko siku watamtekeleza ,hapa ni mwanzo tu.View attachment 3013712
Mwenyekiti kazuia machawa wake kumpigia promo.