Pre GE2025 Mwenyekiti wa BAVICHA John Pambalu asema yuko upande wa Lissu kupinga fedha chafu zilizoingizwa na mahasimu kuvuruga Uchaguzi

Pre GE2025 Mwenyekiti wa BAVICHA John Pambalu asema yuko upande wa Lissu kupinga fedha chafu zilizoingizwa na mahasimu kuvuruga Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu pesa za kuweka bango kama hili la Billbod ametowa wapi?
ni kujipanga tu comrade......

In politics nothing happens out of mere coincidence, every things are normally well planned, organized to achieve certain political objectives.....

and for your information,
the gentleman is a project of somebody to achieve a certain political goals from someone somewhere :pedroP:

time will tell
 
Kila mtu ana staili yake ya maisha hao wamejitangaza yeye kaamua kufanya mambo yake kimya kimya jambo ambalo siyo kosa kisheria.
hivyo anavyotumika ndio kilimo na biashara ya kimyakimya sio?

kilimo na biashara ya siasa, right?

hata hivyo mbona siyo kimya, ni bayana tyuu :DisGonBGud:
 
Hatimaye Mwenyekiti wa BAVICHA mh John Pambalu ametangaza rasmi kuwa yuko Kambi ya makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu

Pambalu amesema anaunga mkono Juhudi zote za Tundu Antipas Lisu kupambana na Rushwa ndani ya Chadema

Source: Nipashe Digital

My take; Tunywe mtori nyama tutazikuta chini 😂😂
Hivi kuna kiongozi wa Chadema anayetaka rushwa ikubalike?

Amandla...
 
hivyo anavyotumika ndio kilimo na biashara ya kimyakimya sio?

kilimo na biashara ya siasa, right?

hata hivyo mbona siyo kimya, ni bayana tyuu :DisGonBGud:
Point yako ni ipi hasa, Matola kaniuliza Pambalu ana biashara gani apart from kazi yake ya ualimu na nimejibu kwa lile ninalofahamu. Sasa wewe kama kuna unalofamu liweke hapa. Hizi siasa zenu za chuki kwa watu wa Chadema sina muda nazo.
 
Point yako ni ipi hasa, Matola kaniuliza Pambalu ana biashara gani apart from kazi yake ya ualimu na nimejibu kwa lile ninalofahamu. Sasa wewe kama kuna unalofamu liweke hapa. Hizi siasa zenu za chuki kwa watu wa Chadema sina muda nazo.
ni project ya kisiasa ya mtu fulani :pedroP:
 
ni project ya kisiasa ya mtu fulani :pedroP:
Wewe umemuona yuko so dull kiasi hawezi kufanya project yoyote kwa kujisimamia? Hizo chuki na dharau zako haziwezi kukufanya wewe ukawa bora kuliko yeye ndiyo maana unakesha humu kutolea watu maneno ya dharau na yeye yupo kimya anafanya yake. Hizi siasa zenu za maji taka zimepitwa na wakati.
 
Wewe umemuona yuko so dull kiasi hawezi kufanya project yoyote kwa kujisimamia? Hizo chuki na dharau zako haziwezi kukufanya wewe ukawa bora kuliko yeye ndiyo maana unakesha humu kutolea watu maneno ya dharau na yeye yupo kimya anafanya yake. Hizi siasa zenu za maji taka zimepitwa na wakati.
hawezi kujisimamia hata kidogo, bado ni mchanga na mwepesi sana kisiasa.

akishatumika na anaemtumia akishafikia malengo yake ya kisiasa, atakua ni useless, atakua dumped. Na hapo ndipo ataanza kujitambua na kuanza sasa kujijengea uwezo wa kujitegemea. .....

but for now kijana ni project isiyomnufaisha yeye, but kuna vitu ataejoy na kujiona as if yeye ni wa kipekee sana :spandauB:
 
Back
Top Bottom