Mwenyekiti wa BAVICHA, Mahinyila azuiwa mlangoni na kupigwa " Tanganyika Jeki" na Red brigade alipokuwa anaingia Kwenye Mkutano wa BAWACHA na Lissu!

Mwenyekiti wa BAVICHA, Mahinyila azuiwa mlangoni na kupigwa " Tanganyika Jeki" na Red brigade alipokuwa anaingia Kwenye Mkutano wa BAWACHA na Lissu!

Kuna watu wanasemaga CDM ni genge la wahuni, naelekeaga kuamini hilo! Ah,,, kumbe nipo ndotoni samahanini wakuu ๐Ÿค”๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ
 
Mwenyekiti wa Bavicha Wakili Msomi Mahinyila amejikuta akipigwa Tanganyika Jeki na Kikosi cha Ulinzi wa Chadema kinachojulikana kama HAMASA

Ikumbukwe hayati Mohamed Kibao ndio alikuwa mkuu wa Kikosi hiki

Wakili Msomi Mahinyila alikuwa ameongozana na Mh Tundu Lisu wakiingia Kwenye Mkutano wa Bawacha Kwa mujibu wa Nafasi zao za Uongozi

Mjumbe wa kamati Kuu ya Chadema Mh Shija amemtaka Katibu mkuu Mh John Mnyika kulitolea Ufafanuzi wa haraka jambo hili

Ahsanteni sana

Kule Tanga Mrema wa Nccr Mageuzi alikatwa mtama mkutanoni ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hizi habari ndio unazihusudu sana
 
Mwenyekiti wa Bavicha Wakili Msomi Mahinyila amejikuta akipigwa Tanganyika Jeki na Kikosi cha Ulinzi wa Chadema kinachojulikana kama HAMASA

Ikumbukwe hayati Mohamed Kibao ndio alikuwa mkuu wa Kikosi hiki

Wakili Msomi Mahinyila alikuwa ameongozana na Mh Tundu Lisu wakiingia Kwenye Mkutano wa Bawacha Kwa mujibu wa Nafasi zao za Uongozi

Mjumbe wa kamati Kuu ya Chadema Mh Shija amemtaka Katibu mkuu Mh John Mnyika kulitolea Ufafanuzi wa haraka jambo hili

Ahsanteni sana

Kule Tanga Mrema wa Nccr Mageuzi alikatwa mtama mkutanoni ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Bila picha ni uzushi wa ma CCM mapumbavu!!
 
Kuzamia shughuli ya watu bila mwaliko madhara yake ndiyo hayo - jamaa ana muwashawasha sana- atatulia tu chini ya Mwamba.
 
Duh aiseee
Mbowe kaiba pesa zote za chadema anaogopa akiachia uenyekiti kisha aje mwenyekiti mpya akapelekwa jela kwa kesi ya Ufisadi ndiyo maana kaunda vikundi vya hovyo hovyo vifanye mambo ya hovyo kumhujumu kumdhoofisha Lisu, kaunda kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na Mdee, Boniface, wenje, sugu na Wilium mungai kwa ajili ya kufanya uchakachuaji kuiba kura kupora ushindi wa Lisu, hivyo vikundi vinagharamiwa kwa pesa alizoiba Mbowe kwenye hazina ya chadema
 
Kaota mapembe huyo anatakiwa kujua kuwa kuna mwaliko kwenda tukio huendi

Mkutano wa BAWACHA baraza la wanawake yeye sio mwabamke mikutano kama hiyo unaingia kwa Mwaliko rasmi huendi tu sababu Lisu kaenda anakuwa kaalikwa
 
Mwenyekiti wa Bavicha Wakili Msomi Mahinyila amejikuta akipigwa Tanganyika Jeki na Kikosi cha Ulinzi wa Chadema kinachojulikana kama HAMASA

Ikumbukwe hayati Mohamed Kibao ndio alikuwa mkuu wa Kikosi hiki

Wakili Msomi Mahinyila alikuwa ameongozana na Mh Tundu Lisu wakiingia Kwenye Mkutano wa Bawacha Kwa mujibu wa Nafasi zao za Uongozi

Mjumbe wa kamati Kuu ya Chadema Mh Shija amemtaka Katibu mkuu Mh John Mnyika kulitolea Ufafanuzi wa haraka jambo hili

Ahsanteni sana

Kule Tanga Mrema wa Nccr Mageuzi alikatwa mtama mkutanoni ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hivi kwa nini watu wanatumia hii title wakili msomi? Kwani mtu anaweza kuwa wakili bila ya kusomea hiyo fani?
 
Naye alitaka aingie kama nani wakati anayeingia kwa mujibu wa cheo chake ni Mwenyekiti wa BAVICHA anayemaliza muda wake! Apigwe tu Tanganyika Jeki
 
Back
Top Bottom