Mwenyekiti wa BAVICHA taifa John Pambalu naye aanza safari na jeshi la polisi kutoka Mwanza kwenda Dar usiku wa leo kwa ajili ya upekuzi

Polisi wajanja sana, hawa watu hawana makosa yoyote wanachofanya ni kuwavuruga wasahau malengo yao ya kupigania Katiba Mpya, Chadema waje na plan A+ kukabiliana na hali hii badala ya kuendelea kushangaa huu usanii wa polisi.
Sijaona ujanja hapo
 
Kwahiyo ulitaka wapekue huko kwenye ZOOM au? Tukiwaambia nyinyi ni nyumbu mnabisha ona sasa utopolo ulioandika hapa!
 
Mitambo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Polisi ya tz vilaza Sana
 
Je ushahidi unasemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…