Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe na adabuChadema leo hawatalala maduka yote ya panadol dawa za kutuliza maumivu watazinywa sana chadema leo zitaisha pharmacy
Kingine kitakachowahi kwisha ni KONYAGI chadema leo watazinywa kwa frustrations hadi basi.Mbowe leo atakatiza dozi atandike konyagi.JOYCE MUKYA uwe karibu kumwangalia asianguke kuvunjika mguu pale alipovunjika majuzi kati.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli amechukua fomu ya kuwania kinyang'anyiro cha Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Magufuli amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dkt. Bashiru Ally, Makao Makuu ya CCM, Dodoma.
Maendeleo hayana vyama!
until further noticeNice Dady. . Tupo nawe