Mwenyekiti wa CCM Mara asema Rais Samia ataongoza nchi hadi mwaka 2030, awaonya wanaompinga

Mwenyekiti wa CCM Mara asema Rais Samia ataongoza nchi hadi mwaka 2030, awaonya wanaompinga

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Mara Samuel Kiboye maarufu kwa jina la Namba tatu amesema Rais Samia Suluhu Hassan ataongoza nchi hadi mwaka 2030 kwani wananchi wa Kanda ya Ziwa wanampenda na wanamkubali.

Ameyasema hayo mbele ya Rais Samia ambaye yuko ziarani mkoani mwanza. Mwenyekiti huyo amemuhakikishia Rais kuwa wananchi wa kanda ya Ziwa wako pamoja nae na wana muunga mkono sana na hawatokubali mtu yeyote au kikundi chochote kimyumbishe Mh Samia ambaye ni chaguo la Mungu kwa Watanzania.
Hii nchi inawatu wajinga sn
 
Kwa kweli hii kanda kuna shida mahali. Hivi watu wa kanda ya ziwa tatizo lao ni nini? Mimi huwa siwaelewi kabisa. Yaani unafiki, uuaji, roho mbaya, kuua watu kama akina Mawazo, kuamuru wenzao wapigwe risasi, watu kuswekwa kwenye viroba, kuua albino, yote ni wao. Kuna nini kanda ya ziwa?

Mmh unaongea ujingaaaa...
Mbeya huko watu wanachunwa ngozi, songea huko wanauliwa wazee
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Mara Samuel Kiboye maarufu kwa jina la Namba tatu amesema Rais Samia Suluhu Hassan ataongoza nchi hadi mwaka 2030 kwani wananchi wa Kanda ya Ziwa wanampenda na wanamkubali.

Ameyasema hayo mbele ya Rais Samia ambaye yuko ziarani mkoani mwanza. Mwenyekiti huyo amemuhakikishia Rais kuwa wananchi wa kanda ya Ziwa wako pamoja nae na wana muunga mkono sana na hawatokubali mtu yeyote au kikundi chochote kimyumbishe Mh Samia ambaye ni chaguo la Mungu kwa Watanzania.
Huyo mwenyekiti wa CCM yeye ni Mungu hadi adai kwamba SSH ataongoza hadi 2030?

Waliomsifia na kumpamba Mwanza sio vijana wala wananchi wa kawaida bali ni wanufaika wa mfumo ulipo madarakani kwa sasa


Kwanini amesitisha barabara za mzunguko Dodoma?

Kwanini hatumii muda mwingi kutatua kero za wananchi kwenye ofisi rasmi ya Rais hapo Chamwino Dodoma?

Mh Rais anatoa maagizo ya kubembeleza ambayo hayana nguvu ya kimamlaka kwa utekelezaji kwa tija.

Hakuna mwanyabiashara hasa Tanzania ambaye anweza kutoa kodi kwa hiari, halali na kwa wakati kwa sababu wanataka faida kutokana na uwekezaji wao.
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Mara Samuel Kiboye maarufu kwa jina la Namba tatu amesema Rais Samia Suluhu Hassan ataongoza nchi hadi mwaka 2030 kwani wananchi wa Kanda ya Ziwa wanampenda na wanamkubali.

Ameyasema hayo mbele ya Rais Samia ambaye yuko ziarani mkoani mwanza. Mwenyekiti huyo amemuhakikishia Rais kuwa wananchi wa kanda ya Ziwa wako pamoja nae na wana muunga mkono sana na hawatokubali mtu yeyote au kikundi chochote kimyumbishe Mh Samia ambaye ni chaguo la Mungu kwa Watanzania.
Kwamba covid19 imeisha haya sawa
 
Kwa kweli hii kanda kuna shida mahali. Hivi watu wa kanda ya ziwa tatizo lao ni nini? Mimi huwa siwaelewi kabisa. Yaani unafiki, uuaji, roho mbaya, kuua watu kama akina Mawazo, kuamuru wenzao wapigwe risasi, watu kuswekwa kwenye viroba, kuua albino, yote ni wao. Kuna nini kanda ya ziwa?
Sio watu wa kanda ni wahuni mmoja mmoja tu

Uwezi kuhusisha kanda na upuuzi

Nyerere alitoka kanda hii hii unayosema ina shida gani.

Hebu tunapokosoa tujitahidi kukwepa ukanda na ukabila.
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Mara Samuel Kiboye maarufu kwa jina la Namba tatu amesema Rais Samia Suluhu Hassan ataongoza nchi hadi mwaka 2030 kwani wananchi wa Kanda ya Ziwa wanampenda na wanamkubali.
Hahahaha hamkomi tu?
 
Haya Sasa,naona kumeanza kucha tena. tuone kjktkjk atavumilia au Kama kawaida.
 
Sio watu wa kanda ni wahuni mmoja mmoja tu

Uwezi kuhusisha kanda na upuuzi

Nyerere alitoka kanda hii hii unayosema ina shida gani.

Hebu tunapokosoa tujitahidi kukwepa ukanda na ukabila.
Nyerere alikuwa wa watanzania wote. Tangu aondoke yeye nitajie kiongozi wa hiyo kanda mbaye siyo mhuni huni tu. nani? Makonda, Magu, Biswalo Mganga, Gwajima, Msukuma, Mnyeti, Kitwage, nk. Nani wa maana? Aibu tupu!
 
Kwani wananchi ndiyo wameongea ama kaongea kiumbe mmoja tu ambaye ni mwenyekiti wa CCM tu? Usiwahukumu wananchi kwa vigezo vyako vya matukio ambayo huwa yapo mikoa yote ikiwemo uchunaji ngozi kule Mbozi mbeya hakuna mkoa wenye malaika watupu Tanzania hii kila wilaya inao wahalifu wake, Mh Rais Samia kaletwa na mungu kuja kuwatibu watanzania ambao walijeruhiwa na mtukufu magufuli enzi za uhai wake, si ajabu kusikia matamko ya viongozi wa CCM kwani lazima wafanye hivyo kama ilivyokuwa kawaida yao,watanzania tuendelee kuchapa kazi na kumuomba mungu amjalie afya njema Rais wetu aziti kuliongoza Taifa kwa Amani na upendo
Nasikia wachuna ngozi wa Mbeya ni wahamiaji na wengine ni kutoka kanda hiyo hiyo maana wametapakaa kila mahali.
 
Back
Top Bottom