Mwenyekiti wa CCM Mara asema Rais Samia ataongoza nchi hadi mwaka 2030, awaonya wanaompinga

Hii nchi inawatu wajinga sn
 

Mmh unaongea ujingaaaa...
Mbeya huko watu wanachunwa ngozi, songea huko wanauliwa wazee
 
Huyo mwenyekiti wa CCM yeye ni Mungu hadi adai kwamba SSH ataongoza hadi 2030?

Waliomsifia na kumpamba Mwanza sio vijana wala wananchi wa kawaida bali ni wanufaika wa mfumo ulipo madarakani kwa sasa


Kwanini amesitisha barabara za mzunguko Dodoma?

Kwanini hatumii muda mwingi kutatua kero za wananchi kwenye ofisi rasmi ya Rais hapo Chamwino Dodoma?

Mh Rais anatoa maagizo ya kubembeleza ambayo hayana nguvu ya kimamlaka kwa utekelezaji kwa tija.

Hakuna mwanyabiashara hasa Tanzania ambaye anweza kutoa kodi kwa hiari, halali na kwa wakati kwa sababu wanataka faida kutokana na uwekezaji wao.
 
Kwamba covid19 imeisha haya sawa
 
Sio watu wa kanda ni wahuni mmoja mmoja tu

Uwezi kuhusisha kanda na upuuzi

Nyerere alitoka kanda hii hii unayosema ina shida gani.

Hebu tunapokosoa tujitahidi kukwepa ukanda na ukabila.
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Mara Samuel Kiboye maarufu kwa jina la Namba tatu amesema Rais Samia Suluhu Hassan ataongoza nchi hadi mwaka 2030 kwani wananchi wa Kanda ya Ziwa wanampenda na wanamkubali.
Hahahaha hamkomi tu?
 
Haya Sasa,naona kumeanza kucha tena. tuone kjktkjk atavumilia au Kama kawaida.
 
Sio watu wa kanda ni wahuni mmoja mmoja tu

Uwezi kuhusisha kanda na upuuzi

Nyerere alitoka kanda hii hii unayosema ina shida gani.

Hebu tunapokosoa tujitahidi kukwepa ukanda na ukabila.
Nyerere alikuwa wa watanzania wote. Tangu aondoke yeye nitajie kiongozi wa hiyo kanda mbaye siyo mhuni huni tu. nani? Makonda, Magu, Biswalo Mganga, Gwajima, Msukuma, Mnyeti, Kitwage, nk. Nani wa maana? Aibu tupu!
 
Nasikia wachuna ngozi wa Mbeya ni wahamiaji na wengine ni kutoka kanda hiyo hiyo maana wametapakaa kila mahali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…