DOKEZO Mwenyekiti wa CCM Mkoa: Miili ya Watu inaokotwa kwenye Mifuko ya Rambo, Simiyu si salama

DOKEZO Mwenyekiti wa CCM Mkoa: Miili ya Watu inaokotwa kwenye Mifuko ya Rambo, Simiyu si salama

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mbona mnambebesha Sana mizigo huyu mama kwa chuki zenu za kipumbavu simiyu Kuna mkuu wa mkoa,rpc,rco,rso nk kwanini msianze kuhoji huko!? au mnafikiri mtu akiwa raisi anavikwa uMungu kwamba atajua Kila kinachotokea? muda mwingine muwe mnaficha chuki na upumbavu wenu.
Nani kawateua?
 
Umekimbilia kwa Magufuli kwa Nini? Baadala ujadili kilichopo umekimbilia kwa Magufuli. Hakuna laana kwa muuaji..kila anayeua naye damu yake nayo itadaiwa.
hajakimbilia bali nyinyi ndio wasemaji wakuu kwamba maiti zilikuwa zinaokotwa kwenye masandarusi awamu ya tano sasa tuko awamu ya sita inakuwaje tena watu wanauliwa na kuwelkwa kwenye virooba kunani?????
 
Huyu mama ana Hoja lakini naona njia aliyotumia kuwasilisha sio nzuri, Naamini ana access na Ofisi ya RC Muda wote
Pengine ni wewe usiyeelewa alchofanya huyo mama.
Hiyo ofisi ya RC ndiko matatizo yanakoanzia, halafu unataka ayapeleke huko?
 
Mbona mnambebesha Sana mizigo huyu mama kwa chuki zenu za kipumbavu simiyu Kuna mkuu wa mkoa,rpc,rco,rso nk kwanini msianze kuhoji huko!? au mnafikiri mtu akiwa raisi anavikwa uMungu kwamba atajua Kila kinachotokea? muda mwingine muwe mnaficha chuki na upumbavu wenu.
Ni wazi kwamba wewe hujui maana ya kuwa mkuu wa nchi, kwa hiyo ni kazi bure kuanza kukufundisha hilo wakati huu.

Mkuu 'kadendu', kama kuna "upumbavu" hakuna unaozidi kiwango cha upumbavu ulionao wewe.
Watu wa aina yako wanaongezeka kwa kasi sana ndani ya nchi hii, ndiyo maana tunapata viongozi kama huyo mama unayemtetea.
 
Mbona mnambebesha Sana mizigo huyu mama kwa chuki zenu za kipumbavu simiyu Kuna mkuu wa mkoa,rpc,rco,rso nk kwanini msianze kuhoji huko!? au mnafikiri mtu akiwa raisi anavikwa uMungu kwamba atajua Kila kinachotokea? muda mwingine muwe mnaficha chuki na upumbavu wenu.

Kwani waliokuwa wanamsakama JPM
Je, hao rpc, rco na wengine hawakuwepo?
 
Ni wazi kwamba wewe hujui maana ya kuwa mkuu wa nchi, kwa hiyo ni kazi bure kuanza kukufundisha hilo wakati huu.

Mkuu 'kadendu', kama kuna "upumbavu" hakuna unaozidi kiwango cha upumbavu ulionao wewe.
Watu wa aina yako wanaongezeka kwa kasi sana ndani ya nchi hii, ndiyo maana tunapata viongozi kama huyo mama unayemtetea.
Kadendu amekuelewa mkuu umetumia lugha kali sana.
 
Kadendu amekuelewa mkuu umetumia lugha kali sana.
Hapana.
Nimejibu tu kufuatana na lugha aliyotumia yeye.

Kama kuna lugha kali katika jibu langu kama unavyosema wewe, basi mkuu 'kadendu' ndiye fundi wa lugha hiyo.
Angalia alivyojibu yeye mwanzo.
 
Back
Top Bottom