Chadema huwa hawana matamko ya vikao kila mwana Chadema ni msemaji wa Chama God bless lema anaita kazi ya bodaboda laana mwenyekiti Mbowe na Lisu wanasindikizwa na bodaboda na kuheshimu boda boda
Mbowe anaongelea na kuheshimu Maridhiano Lisu anaita maridhiano hayana maana
Lisu anasema Katiba Mpya ndio agenda muhimu Mbowe anasema tunahitaji maridhiano ya kitaifa
Chadema Taifa hakitangazi maandamano ya kutaka wabunge wa Chadema walioko Bungeni waondoke Bawacha yenyewe inajiamulia kuingia barabarani kivyake
Yaani Chadema kwa sasa haiko organised kabisa haina Central voice kila anayejisikia kubweka chochote anabweka tu