Mwenyekiti wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Kamati Kuu, Ikulu

Mwenyekiti wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Kamati Kuu, Ikulu

Hivi kwa akili yako unafikiri Kuna chama mbadala wa CCm hapa nchini? Kwa kazi kubwa ya serikali hii ya CCM inayoongozwa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani unazani kuna mwenye ubavu wakuweza kupata kura mbele ya CCM hii? CCM ipo hapa na itaendeleaa kuwepo hapa muda wote maana wananchi wanamatumaini makubwa Sana na chama hiki kilichobeba matumaini ya Watanzania wanyonge
Nimekwambia mwisho wa CCM 2026.
Andika Mahali Kwa kumbukumbu.
 
Nimekwambia mwisho wa CCM 2026.
Andika Mahali Kwa kumbukumbu.
CCM Haina mwisho Kama ambavyo Taifa hili lisivyo na mwisho wa uhai wake, Tutapita na kuiacha CCM ikiwa imara zaidi ya Leo na Jana, CCM Ni tumaini kwa waliokata Tamaa na wanaohitaji utumishi ulio tukuka, CCM ndio chama kilicho na Dira na muelekeo unaoeleweka, Huwezi ukaviunga vyamaa vya upinzani vilivyokosa dira na muelekeo wa kueleweka maana hujuwi kuwa kesho mnaweza pelekwa wapi,

Hakuna chama chenye uwezo wa kuitikisa CCM hii imara na inayoimarika kila siku, yenye mizizi na mtandao mpana uliogusa kila eneo tofauti na mavyama mengine yaliyo Kama matawi tu yaliyokatwa ambayo hunyauka jua likiwaka
 
CCM Haina mwisho Kama ambavyo Taifa hili lisivyo na mwisho wa uhai wake, Tutapita na kuiacha CCM ikiwa imara zaidi ya Leo na Jana, CCM Ni tumaini kwa waliokata Tamaa na wanaohitaji utumishi ulio tukuka, CCM ndio chama kilicho na Dira na muelekeo unaoeleweka, Huwezi ukaviunga vyamaa vya upinzani vilivyokosa dira na muelekeo wa kueleweka maana hujuwi kuwa kesho mnaweza pelekwa wapi,

Hakuna chama chenye uwezo wa kuitikisa CCM hii imara na inayoimarika kila siku, yenye mizizi na mtandao mpana uliogusa kila eneo tofauti na mavyama mengine yaliyo Kama matawi tu yaliyokatwa ambayo hunyauka jua likiwaka
Kama CCM ni imara, kwann mabalozi na wenyeviti wa mitaa hulipwa Ili kuwaleta wananchi waje mikutano I?

Kwann hamkosi kubebwa na MBELEKO ya Dola Kila muendako?

Mbona wananchi hawana time nanyi?

Kwann mnaogopa mikutano ya hadhara ya vyama vya upinzani?

Kwann mnashiriki kuanzisha migogoro vyama pinzani mf NCCR nk.

Time hii, hamtoiba uchaguzi, ni afadhali sote tulale saa 12 tujue hakuna utawala wa kidemokrasia.
 
Migogoro ya vyama vyenu msisingizie CCM, Wenyeviti wenu na viongozi wenu wamefanya vyama Kama miradi yao ya kuwapa vipato na kuendeshea maisha yao, Sasa mkitimuliwa na wanachama wenu mnaanza kuililia CCM, pambaneni na Hali zenu huko
Kama CCM ni imara, kwann mabalozi na wenyeviti wa mitaa hulipwa Ili kuwaleta wananchi waje mikutano I?

Kwann hamkosi kubebwa na MBELEKO ya Dola Kila muendako?

Mbona wananchi hawana time nanyi?

Kwann mnaogopa mikutano ya hadhara ya vyama vya upinzani?

Kwann mnashiriki kuanzisha migogoro vyama pinzani mf NCCR nk.

Time hii, hamtoiba uchaguzi, ni afadhali sote tulale saa 12 tujue hakuna utawala wa kidemokrasia.
 
Migogoro ya vyama vyenu msisingizie CCM, Wenyeviti wenu na viongozi wenu wamefanya vyama Kama miradi yao ya kuwapa vipato na kuendeshea maisha yao, Sasa mkitimuliwa na wanachama wenu mnaanza kuililia CCM, pambaneni na Hali zenu huko
Mrema the late alikuwa mpinzani yule? Mnanunua wapinzani mnaowatukana hawana Dira. Shame on you
 
Kama hizo ndio ajenda zenu Basi endeleeni nazo, Mavuno mtayapata kwenye chafuIt Kama hamtakimbia uwanjani
Dogo acha wenge! Ccm hii ninayoijua Mimi bila wizi wa kura, rushwa ya vitenge na tshirts, utekaji, mauaji na kuwakamata wagombea Kwa kutumia polisi na tiss haina ubavu wote wa kushinda uchaguzi nchi hii!
Kama kweli ccm Inajiamini iingie kwenye uchaguzi bila polisi, madc,wakurugenzi na wengineo mliowaajiri huko mikoani na wilayani ikione Cha mtemakuni Kwa jinsi itakavyoaibishwa! Fanyeni uchaguzi huru japo najua hamtaweza mkione Cha kanga kukosa manyoya!
 
Dogo acha wenge! Ccm hii ninayoijua Mimi bila wizi wa kura, rushwa ya vitenge na tshirts, utekaji, mauaji na kuwakamata wagombea Kwa kutumia polisi na tiss haina ubavu wote wa kushinda uchaguzi nchi hii!
Kama kweli ccm Inajiamini iingie kwenye uchaguzi bila polisi, madc,wakurugenzi na wengineo mliowaajiri huko mikoani na wilayani ikione Cha mtemakuni Kwa jinsi itakavyoaibishwa! Fanyeni uchaguzi huru japo najua hamtaweza mkione Cha kanga kukosa manyoya!
Upinzani hamna ubavu huo wa kuitisha CCM, Tena mshukuru huwa tunawapa hata watu wa kugombea Urais maana bila hivyo mngekuwa mnakosa hata mgombea kiti Cha Urais
 
Safi Sana kwa chama kiongozi , chama kilichobeba matumaini ya watanzania, chama kilichobeba hatima ya Taifa hili, chama kilicho kimbilio la wanyonge, chama kinachotoa dira na muelekeo wa Taifa hili, chama kinachobadilika kulingana na wakati, chama ambacho kimekuwa sauti kwa wasio na sauti na nguvu kwa wasio na nguvu, chama Cha Hayati baba wa Taifa mwalimu Nyerere,Hakika CCM itaendeleaa kuongoza nchi hii Daima
Nawe sijui ni mhaya wa wapi kenge wewe,,
 
View attachment 2368860
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 26 Septemba, 2022.

View attachment 2368861
Rais wa Zanzibar na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe Dkt Hussein Mwinyi akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti wa ccm-Tanzania visawani Mhe Dkt Ally Mohamed Shein muda mchache kabla ya kikao kuanza,

View attachment 2368865

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Kanali Mstaafu Ndg Abdulrahaman KINANA akipitia makabrasha mbalimbali kabla ya kikao cha Kamati kuu Maalum,

View attachment 2368866
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akiteta jambo na Mjumbe Mpya wa Kamati Kuu Ndg Steven Masato Wassira,

View attachment 2369158
View attachment 2369164
Wajumbe wa Kamati kuu wakimkaribisha kwa Wimbo wa Chama Mkt wa Kikao Ukumbini,


#CCM MBELE KWA MBELE
Wanafanya vikao vya chama kwenye ofisi za serikali
 
Kiukweli kuna vitu lazima tumsaidie Mama yetu, japo hakuna kosa lolote kikatiba, kisheria, kiutaratibu na kanuni, kuzuia kufanyia vikao cha chama chetu, kwenye ikulu yetu kwasababu CCM ndio chama tawala hivyo ikulu ni yetu, but its morally wrong , hivyo this is crime against morality.

JPM pia alianza hivi hivi, tulipokemea humu akawa msikivu alatusikia akaacha na tukampongeza Pongezi Dkt. Magufuli kutenganisha shughuli za Chama na Serikali, Utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!
P

Mwl. NYERERE alifanya CCM meeting(s) at Ikulu :
images (27).jpeg


JAKAYA KIKWETE alifanya CCM meeting(s) at Ikulu:
IMG_20220926_230017.jpg


But kwenye hili la CCM kufanya meetings zao Ikulu, WHY huwa mnamuona Magufuli tu?!!

-Kaveli-
 
Asante Sana kwa Taarifa hiiJapo hapo kwa Magufuli umekuwa too personal , 🙏

Wanaomnyooshea kidole mtu mmoja pekee kwa jambo lilofanywa pia na watangulizi wake, hawako personal?

-Kaveli-
 
Hili nalo muende mkalitizame Kaka yangu Kinana, Mwanangu Hussein na Kaka yangu Mkubwa Shein,watu wenye akili za kawaida wanapinga sisi kufanya vikao vya chama Ikulu.
 
Hili nalo muende mkalitizame Kaka yangu Kinana, Mwanangu Hussein na Kaka yangu Mkubwa Shein,watu wenye akili za kawaida wanapinga sisi kufanya vikao vya chama Ikulu.
Ikulu ni ofisi ya Umma hata CHADEMA wanaweza kufanyia mikutano pia,
 
View attachment 2368860
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 26 Septemba, 2022.

View attachment 2368861
Rais wa Zanzibar na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe Dkt Hussein Mwinyi akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti wa ccm-Tanzania visawani Mhe Dkt Ally Mohamed Shein muda mchache kabla ya kikao kuanza,

View attachment 2368865

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Kanali Mstaafu Ndg Abdulrahaman KINANA akipitia makabrasha mbalimbali kabla ya kikao cha Kamati kuu Maalum,

View attachment 2368866
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akiteta jambo na Mjumbe Mpya wa Kamati Kuu Ndg Steven Masato Wassira,

View attachment 2369158
View attachment 2369164
Wajumbe wa Kamati kuu wakimkaribisha kwa Wimbo wa Chama Mkt wa Kikao Ukumbini,


#CCM MBELE KWA MBELE
CCM NDIO CHAMA
 
Back
Top Bottom