Mwenyekiti wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Kamati Kuu, Ikulu

Mwenyekiti wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Kamati Kuu, Ikulu

CCM hata Kama ukiwaona Kwenye kikao ni watu wa tofauti Sana Kwani wamevalia sare vizuri, Wanautulivu wa kutosha simply wako vizuri Sana hawa watu
 
Kinana ndio selemani matola?

Kwanini wanatumia ofisi ya umma kwa vikao vya chama?
Nyinyi kila siku mnasema hii Serikali ya CCM. Ndo maana yake hiyo.
Wakati Mbowe ni kiongozi wa upinzani Bungeni, alipewa gari la Serikali na alikuwa akienda nalo kwenye mikutano yenu.
Hapo Mwenyekiti amewakaribisha wajumbe nyumbani kwake
 
Hivi kwa Sasa mnasimamia Nini kinachogusa maisha ya mtanzania?
CCM imesababisha tupige hatua Kwa kurudi nyuma!!

Tunajenga madarasa na matundu ya vyoo Mashuleni bt mwalimu amepuuzwa.

Anaoahidiwa 23% nyongeza, anaambulia 2.3%. hapo hapo anaundiwa tozo ktk miamala ya kibenki Ili alitoa mshahara wake akatwe hata hiyo nyongeza kdg aliyopata baada ya miaka 6.

Watoto wetu walikuwa wanapata chakula shuleni Serikali ikigharimia, saizi pesa hizo zinanunulia V8.

Tunaitoa CCM madarakani Ili turudi tulipokuwa Ili tuanze hatua vizuri.

Turudishe HAKI Kwa Kila mwananchi afurahie kuitwa MTANZANIA.

Ameeen
 
View attachment 2368860
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 26 Septemba, 2022.

View attachment 2368861
Rais wa Zanzibar na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe Dkt Hussein Mwinyi akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti wa ccm-Tanzania visawani Mhe Dkt Ally Mohamed Shein muda mchache kabla ya kikao kuanza,

View attachment 2368865

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Kanali Mstaafu Ndg Abdulrahaman KINANA akipitia makabrasha mbalimbali kabla ya kikao cha Kamati kuu Maalum,

View attachment 2368866
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akiteta jambo na Mjumbe Mpya wa Kamati Kuu Ndg Steven Masato Wassira,

View attachment 2369158
View attachment 2369164
Wajumbe wa Kamati kuu wakimkaribisha kwa Wimbo wa Chama Mkt wa Kikao Ukumbini,


#CCM MBELE KWA MBELE
Nakupenda CCM
 
Miaka michache nyuma hapo ungemuona Humphrey Polepole na Mwalimu wangu Dokta Bashiru Ali Kakurwa na hapo mbele angekuwa Dokta John Magufuli.

Nothing Last Forever....Tuishi
 
View attachment 2368860
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 26 Septemba, 2022.

View attachment 2368861
Rais wa Zanzibar na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe Dkt Hussein Mwinyi akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti wa ccm-Tanzania visawani Mhe Dkt Ally Mohamed Shein muda mchache kabla ya kikao kuanza,

View attachment 2368865

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Kanali Mstaafu Ndg Abdulrahaman KINANA akipitia makabrasha mbalimbali kabla ya kikao cha Kamati kuu Maalum,

View attachment 2368866
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akiteta jambo na Mjumbe Mpya wa Kamati Kuu Ndg Steven Masato Wassira,

View attachment 2369158
View attachment 2369164
Wajumbe wa Kamati kuu wakimkaribisha kwa Wimbo wa Chama Mkt wa Kikao Ukumbini,


#CCM MBELE KWA MBELE
Ikulu ni Ofisi ya umma.

Tafuteni pa kufanyika vikao vyenu vya Chama.
 
View attachment 2368860
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 26 Septemba, 2022.

View attachment 2368861
Rais wa Zanzibar na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe Dkt Hussein Mwinyi akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti wa ccm-Tanzania visawani Mhe Dkt Ally Mohamed Shein muda mchache kabla ya kikao kuanza,

View attachment 2368865

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Kanali Mstaafu Ndg Abdulrahaman KINANA akipitia makabrasha mbalimbali kabla ya kikao cha Kamati kuu Maalum,

View attachment 2368866
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akiteta jambo na Mjumbe Mpya wa Kamati Kuu Ndg Steven Masato Wassira,

View attachment 2369158
View attachment 2369164
Wajumbe wa Kamati kuu wakimkaribisha kwa Wimbo wa Chama Mkt wa Kikao Ukumbini,


#CCM MBELE KWA MBELE
Mwisho wa agenda muulizane kale ka Utaratibu ka KUJIHOJI na KUJISAHIHISHA aloanzisha mwl Nyerere kaliishia wapi????

Mara hii mmesahau kilichotokea 2020 juu ya sanduku la kura?????

Mnajiandaa na chaguzi zijazo bila KUJISAHIHISHA kujua mlikosea wapi????

Hayupo aonaye kinachoenda Kutokea?????

CCM ni sikio la KUFA, halisikii dawa.

Tusubiri.
 
View attachment 2368860
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 26 Septemba, 2022.

View attachment 2368861
Rais wa Zanzibar na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe Dkt Hussein Mwinyi akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti wa ccm-Tanzania visawani Mhe Dkt Ally Mohamed Shein muda mchache kabla ya kikao kuanza,

View attachment 2368865

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Kanali Mstaafu Ndg Abdulrahaman KINANA akipitia makabrasha mbalimbali kabla ya kikao cha Kamati kuu Maalum,

View attachment 2368866
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akiteta jambo na Mjumbe Mpya wa Kamati Kuu Ndg Steven Masato Wassira,

View attachment 2369158
View attachment 2369164
Wajumbe wa Kamati kuu wakimkaribisha kwa Wimbo wa Chama Mkt wa Kikao Ukumbini,


#CCM MBELE KWA MBELE
Naona hiki chama bado kipo kwenye Hangover ya mfumo wa chama kimoja na chama kushika hatamu.
Wakati umefika sasa CCM au chama kingine chochote kitakachokuwa madarakani, kitenganishe shughuli zake na shughuli za kiserikali. Hivi vikundi vinaitwa vyama kwa sababu sio mali ya watu wachache waliojiunga kwa hiari yao. Sasa inakuwaje chama kitumie raslimali za wananchi wote kama Ikulu na muda wa watumishi wa serikali kama Rais na Mawaziri? Haya ni matumizi mabaya ya madaraka na ni wizi wa mali ya Umma na uhujumu uchumi. Mikutano kama hii inapaswa kufanyika nje ya saa za kazi au weekend kama watu wanaolipwa na serikali watahudhuria na ifanyike kwenye kumbi za mikutano ya kulipia au kumbi za chama kwa chama kilicho na kumbi zake.
Sio haki walipa kodi/Tozo kugharamia mambo binafsi ya chama kimoja, kama huo upendeleo haunufaishi vyama vingine.
 
Naona hiki chama bado kipo kwenye Hangover ya mfumo wa chama kimoja na chama kushika hatamu.
Wakati umefika sasa CCM au chama kingine chochote kitakachokuwa madarakani, kitenganishe shughuli zake na shughuli za kiserikali. Hivi vikundi vinaitwa vyama kwa sababu sio mali ya watu wachache waliojiunga kwa hiari yao. Sasa inakuwaje chama kitumie raslimali za wananchi wote kama Ikulu na muda wa watumishi wa serikali kama Rais na Mawaziri? Haya ni matumizi mabaya ya madaraka na ni wizi wa mali ya Umma na uhujumu uchumi. Mikutano kama hii inapaswa kufanyika nje ya saa za kazi au weekend kama watu wanaolipwa na serikali watahudhuria na ifanyike kwenye kumbi za mikutano ya kulipia au kumbi za chama kwa chama kilicho na kumbi zake.
Sio haki walipa kodi/Tozo kugharamia mambo binafsi ya chama kimoja, kama huo upendeleo haunufaishi vyama vingine.
Isomeke "Ni mali ya watu wachache"
 
Kama CCM ni imara, kwann mabalozi na wenyeviti wa mitaa hulipwa Ili kuwaleta wananchi waje mikutano I?

Kwann hamkosi kubebwa na MBELEKO ya Dola Kila muendako?

Mbona wananchi hawana time nanyi?

Kwann mnaogopa mikutano ya hadhara ya vyama vya upinzani?

Kwann mnashiriki kuanzisha migogoro vyama pinzani mf NCCR nk.

Time hii, hamtoiba uchaguzi, ni afadhali sote tulale saa 12 tujue hakuna utawala wa kidemokrasia.
Kwanini wanatumia raslimali zetu wote kama IKULU kuendesha vikao vyao?
 
View attachment 2368860
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 26 Septemba, 2022.

View attachment 2368861
Rais wa Zanzibar na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe Dkt Hussein Mwinyi akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti wa ccm-Tanzania visawani Mhe Dkt Ally Mohamed Shein muda mchache kabla ya kikao kuanza,

View attachment 2368865

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Kanali Mstaafu Ndg Abdulrahaman KINANA akipitia makabrasha mbalimbali kabla ya kikao cha Kamati kuu Maalum,

View attachment 2368866
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akiteta jambo na Mjumbe Mpya wa Kamati Kuu Ndg Steven Masato Wassira,

View attachment 2369158
View attachment 2369164
Wajumbe wa Kamati kuu wakimkaribisha kwa Wimbo wa Chama Mkt wa Kikao Ukumbini,


#CCM MBELE KWA MBELE
deal done
 
Back
Top Bottom