Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unadhani mzee kama huyu alikuwa na sera gani kwa chama kuhusu maendeleo kwa wananchi tofauti na kuhakikisha wabinge wanapatikana wa ccm tu regardless ya uwezo wao mdogo au lah.Huyu Mzee Marehemu amehudumu kweli kwenye hicho kiti,..poleni wanae, wanaMabama, wana Ilolangulu na WanaTabora kwa ujumla
Wanalipwa mshahara wa 2020 !Kuna upepo ukipitaga unazima viongozi balaaa!
Apumzike kwa amani
Upo mkuu? Habar ya siku?Akiwa ofisini..!
Ila we jamaaR.i.P Classmate...š„