Mwenyekiti wa CCM-Tanzania afunga rasmi mafunzo ya makatibu wa Wilaya na Mikoa Jijini Dodoma

Mwenyekiti wa CCM-Tanzania afunga rasmi mafunzo ya makatibu wa Wilaya na Mikoa Jijini Dodoma

Jesusie

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2021
Posts
1,466
Reaction score
766
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
IMG-20211106-WA0033.jpg
 
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
View attachment 2001111
Hongera chama cha Mapinduzi,
Hii ndio tofauti yako na vyama vingine,

Hongera sana Mkt wa wenyeviti Tanzania
 
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
View attachment 2001111
Hongera Sana Mkt wetu, We love you
 
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
View attachment 2001111
Nzuri sana hii Mhe Shaka
 
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
View attachment 2001111
Nzuri hii
 
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
View attachment 2001111
Mimi sio CCM ila namkubali sana Mama Samia,
 
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
View attachment 2001111
CCM CHAMA
 
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
View attachment 2001111
Wezi wa kura hao
 
Kuna makatibu wa ccm wilaya hawakushiriki mafunzo haya wanaonekana mitaani kulikoni?
 
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
View attachment 2001111
Wengine tunatafuta angalau tupate mlo mmoja kila siku wenyenchi wakobize wanajiandaa kukomba kura zote 2025!
 
Back
Top Bottom