Mwenyekiti wa CCM-Tanzania afunga rasmi mafunzo ya makatibu wa Wilaya na Mikoa Jijini Dodoma

Mwenyekiti wa CCM-Tanzania afunga rasmi mafunzo ya makatibu wa Wilaya na Mikoa Jijini Dodoma

Alianza PM na mobilization na sasa mwenyekiti atilia mkazo maana hali si nzuri.

Hiyo ndo moja ya sifa za chama tawala, maandilizi mapema asubuhi.
 
Ndugu zangu, kama kuna kitu vyama vya siasa si tu vya Tanzania, bali Afrika vinapaswa kuiga CCM au kupata shule ; ni hili la kuendeleza utaratibu wa waasisi wa kuandaa viongozi. Mwalimu Nyerere alifanya jambo hili kubwa. Na sasa CCM inaendeleza msingi huo.

Naamini Chuo cha Kibaha na Ihemi, vitarejesha zama za Kivukoni college. Tunahitaji viongozi vijana waliopikwa kuitumikia nchi na watu wake kwa uadilifu na uzalendo mkubwa.
VIVA CCM!
 
Ndugu zangu, kama kuna kitu vyama vya siasa si tu vya Tanzania, bali Afrika vinapaswa kuiga CCM au kupata shule ; ni hili la kuendeleza utaratibu wa waasisi wa kuandaa viongozi. Mwalimu Nyerere alifanya jambo hili kubwa. Na sasa CCM inaendeleza msingi huo.

Naamini Chuo cha Kibaha na Ihemi, vitarejesha zama za Kivukoni college. Tunahitaji viongozi vijana waliopikwa kuitumikia nchi na watu wake kwa uadilifu na uzalendo mkubwa.
VIVA CCM!
Nakubaliana na wewe 100%
 
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
View attachment 2001111
Hayo ni mafunzo kwa wale waliofurushwa au hawa wapya ?
 
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
View attachment 2001111
CCM
 
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
View attachment 2001111
Hongera sana Mkt
 
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
View attachment 2001111
 
Mwenyekiti wa CCM-Tanzania ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan amefunga leo rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa,

Katika taarifa yake kwa Watanzani Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema mafunzo hayo yamehusisha Makatibu wa ngazi hizo wa Tanzania nzima yaani bara na Visiwani,

Katika taarifa hiyo Ndg Samia Suluhu Hassan amesisitiza Umoja, Upendo na Mshikamano huku akisisitiza kuwa mafunzo hayo ni endelevu kwa Ustawi wa Chama na Taifa kwa Ujumla wake,
View attachment 2001111
hao ni watu muhimu lazima tuangalie mkakati wa 2024 na 2025
 
Back
Top Bottom