Hayo yalikuwa maneno ya kizamani. Sasa hivi CHADEMA ni ya waTanzania wote, kila anayetaka kuingia hakuna wa kumhoji.Chadema ni ya Mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yalikuwa maneno ya kizamani. Sasa hivi CHADEMA ni ya waTanzania wote, kila anayetaka kuingia hakuna wa kumhoji.Chadema ni ya Mbowe
Ninarudia tena,ni taahira, kilaza na mpumbavu wa kutupwa tu ndio anaweza kuongela ukabila na ukanda karne hii, tena ni zwazwa anayeweza kujumuisha mtu/watu kimakundi.Wewe Sio Mchaga...
Kwa Taarifa Yako Akiondoka Mbowe Na Wachaga Wote Wataondoka Tuliona Kipindi Hicho Cha Nccr
Ni vizuri aelekeze nguvu kwenye kampeni aachane kupiga mdomo!Lisu ana wakati mgumu mno kupata wajumbe wa kumuunga mkono mkutano mkuu Taifa wa chadema ili awe mwenyekiti 🐒
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Dar es Salaam, Henry Kilewo, amesema kuwa wanamuhitaji Freeman Mbowe kuendelea na uongozi ndani ya chama hicho.
"Mimi ni miongoni mwa wenyeviti wa CHADEMA waliomuomba Mbowe agombee. Moja ya jibu nalotegemea kutoka kwake katika saa 48 alizotoa ni kwamba atagombea" alisema Kilewo.
View attachment 3180185
Pia, Soma:
• Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti
• CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo
Mbowe kawaweka mateka viongozi wengi sana wa chadema, wamegeuka waimba mapambio zaidi kuliko kuitetea chama.Kwa sasa kama Mbowe atataka kuchukua form basi hakuna ndani ya CDM wa kuchuana naye- unless mtu ajitokeze tu just to make a number na ku update CV yake.
Kama inakuuma tafuta kiwembe tafuna umeze - lakini huo ndiyo ukweli.
kampeni gani wakati Kileo ni mjumbe na ana nguvu ya wajumbe nyuma yake, wote anawapeleka kwa mbowe?Ni vizuri aelekeze nguvu kwenye kampeni aachane kupiga mdomo!
Ujinga tu, mwenyekiti wa kazi Gani wati huku mitaani hakuna hata ofisiMwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Dar es Salaam, Henry Kilewo, amesema kuwa wanamuhitaji Freeman Mbowe kuendelea na uongozi ndani ya chama hicho.
"Mimi ni miongoni mwa wenyeviti wa CHADEMA waliomuomba Mbowe agombee. Moja ya jibu nalotegemea kutoka kwake katika saa 48 alizotoa ni kwamba atagombea" alisema Kilewo.
View attachment 3180185
Pia, Soma:
• Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti
• CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo
Unajuaje labda atakuwavl nmgombea pekee,Lisu ana wakati mgumu mno kupata wajumbe wa kumuunga mkono mkutano mkuu Taifa wa chadema ili awe mwenyekiti 🐒
Narudia swali langu; unaelewa Shimo la Tewa ni nini?Bila Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa
Ndo nimesema apambane asitafute huruma ya kumzuia Mbowe... aache kubwabwaja mpaka ute mweupe unamtoka mdomoni apambane apenye kwenye boksi la Kura.kampeni gani wakati Kileo ni mjumbe na ana nguvu ya wajumbe nyuma yake, wote anawapeleka kwa mbowe?
Lisu ana kura za wajumbe wangapi mkoa wa kinondoni, Dar es salaam, temeke, au ilala?🤣
Wanaomuunga mkono Lissu hawataki uchaguzi.Wanataka aachiwe Uenyekiti na Mbowe. Wanajua wazi kwamba kwa kura hawawezi kushinda.Ndo nimesema apambane asitafute huruma ya kumzuia Mbowe... aache kubwabwaja mpaka ute mweupe unamtoka mdomoni apambane apenye kwenye boksi la Kura.
na huu ndo mtego mkubwa walionao wakikiachia chama kinafunguka 2025 inakuwa ya tofauti ila wakikingangania ndo anguko nadi ya angukoWakaskazini hawawezi kukiachia chama chao kirahisi
aache mdomo na kupumbazwa na ushabiki wa mitandaoni na maaskofu anaoambatana nao wasio wajumbe right?🐒Ndo nimesema apambane asitafute huruma ya kumzuia Mbowe... aache kubwabwaja mpaka ute mweupe unamtoka mdomoni apambane apenye kwenye boksi la Kura.
Umekuwa ukicoment hivi kila uzi unaomhusu Lisu au Mbowe, kwa kifupi akili zako ni kama za nyumbu na hujielewiBila Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa