Mbuli yaza
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 711
- 683
mpaka Leo anasingiziwa sana lkn ukisikia sgr,stiglers gorge power project,MAGU city na project nyingine nyingi yeye ndo mwasisi na bila kifo zingeshakamilika kitambo.na nchi ingekuwa mbali sana kimaendeleo kifo kiliidhulumu hii nchi kiongozi madhubuti kabisa.JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Ngoja awanyooshe sawa sawa ndio tutajua imemshinda au hapana
Tia ndani hawa wapiga deals za hela ya ruzuku hawana lolote!
Polisi na ccm ni mtu na bosi wake!Mambo mengine yanachekesha sana.
Mambo mengi ya msingi polisi T wameshindwa na hawaoneshi kuyaweza.Ukifika muda wa masuala ya CDM wanakua mahiri na intelijensia zinakua njema kwelikweli.Vibweka hivi!
Weee Mbowe miaka nenda rudi ndiye Mwenyekiti chadema hataki kuwaachia wenzake alafu eti tumpe urais! Sweka ndani!
MpuuziHao chadema watuache na amani yetu. Kama wanaotaka kuandamana waende Kenya ndio nchi ya maandamano. Hapa TANZANIA MTU MZIMA HATISHIWI NYAU. Waziri mkuu pinda alishasema :" Wapigwe tuu" hamna namna.
Tulieni dozi iwaingie,mlimzoea kama Mke wenu si ndio? π€£π€£Anamnyoosha nani?. Ana hasira za kijinga.
Samia anamtumia Abdul kuifilisi nchi na amenogewa hataki kuachia kwa gharama yoyote ileKosa la Samia ni nini hapo? Sio yeye aliyeifuta Tanganyika wala aliyelazimisha Muungano. Mnamuonea tu, makosa wafanye wengine lawama apewe yeye. Samia kwa mujibu wa Nyerere na Karume na Katiba yetu ni mtanzania halisi kama watanzania wengine. Acha ubaguzi wa kike. Ni Rais yupi ambae hajakamata watu kwenye uongozi wake?
Mwizi hataki kukemewaTulieni dozi iwaingie,mlimzoea kama Mke wenu si ndio? οΏ½
Huna hojaMwizi hataki kukemewa
ππInasikitisha sana ,mbona Zanzibar Uwanja wa Amani tamasha lao lilifanyika vizuri tu?
Jizi lenu linatapatapaHuna hoja
Naunga mkono hoja yako 100%Kama walipanga kuhatarisha usalama wetu wadhibitiwe hawa wanasiasa wakichekewa ndio yanatokea kama ya kenya au uingereza
Nakazia Wacha liendelee kutapatapa hapo Ikulu ila nyie mtakuwa mnaiona Kwa mbaaaalii πππππJizi lenu linatapatapa
Wazalendo?! au PANYA road tu mnataka mkaibe ubwabwa wa wabunge huko bungeni kama walivyofanya PANYA ROAD wenzenu wa huko Kenya?!Polisi wajitathimini.wazalendo tukiamua kuingia barabarani hataweza kuzuia mafuriko.hamuoni kule Bangladesh?
Polisi wa Kenya wanacheka na PANYA ROAD wanaojiita Gen Z, hapa kwetu TZ polisi hawajui kucheka na nyani wanaotaka kuvuruga amani ya nchi. Hapa ni Rungu kwenda mbele.Sana , yaani wahuni walete mambo ya kuiga huko eti ya Gen Z? Washughulikiwe kama M7 alivyowafa ya wale wa Uganda Hadi wamekomaa.
Watuvurugie Nchi kisa? Wangekuwa wanaungwa mkono na Umma watu si wangeenda?
Hata Afrika kusini wakati wa ubaguzi wa Rangi ilikuwa kawaida watu weusi kuuwawa na kufungwa wala hawakurudi nyuma. Binadamu wapo kama nyuki unapozidi kuwakandamiza ndivyo wanavyo zidi kuja na kupambana. CCM wasidhani wataweza kuishi na siasa za hila miaka yote Zanzibar leo tayari kumewashinda siku nyingi na sasaTanzania Bara wanakwenda kuchemsha mda si mrefu.Kama ni la kawaida basi wasilalamike washangilie si ni kawaida kwao? ππ
Bado hujasemaKumkamata Mwenyekiti Mbowe hakutazuia haki ya kukusanyika. Samia kama nchi imemshinda aombe msaada.je hizi ndip ForR
Dadavua hzo four Rβs.What happened to maridhiano??
4R's.