Upande wa pili hapo umemuona nani?Je mwenyekiti ameunda na Nani kama alivyo upande wa pili?! Haya ni mambo muhimu.
Siasa za kitoto, siasa za Kishamba, siasa za Kimbumbumbu, siasa za Kimhemko!Hahahaha, Mwenyekiti Krismas yake saaafi, wewe kapitie fungu la dagaa, tena la kukopa hapo gengeni
Sio kila mtu anayajua magenge hayo mnayafaham nyie mnaofugwa lumumba sisi tunakula misusa safi kijijin isiyo na mikojo wala kemikali wewe endelea kufugwa hapo lumumba ila mamayenu tayari amesurender kwa mbowe katiba inakuja itawafagia mazuzu wote hapo lumumba na hizo buku saba zenu ndo bye bye.Hahahaha, Mwenyekiti Krismas yake saaafi, wewe kapitie fungu la dagaa, tena la kukopa hapo gengeni
Nashauri wanachama wote wa CCM wapewe udaktari wa heshima ili wajidai kama bosi wao. Udaktari wa kupewa siyo wa kutumiwa na mwenye kuupokea. Ni bahati mbaya Jakaya Kikwete, kilaza mkubwa alipopewa akaanza kujiona daktari. Watangulizi wake wote walikuwa wamepewa na si mara moja au mbili lakinii hawakutumia cheo cha daktari. Ukiutaka kasomee uone ugumu wake.View attachment 2464661
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana mara baada ya kupokea taarifa ya Maendeleo ya mazungumzo ya mchakato wa maridhiano ya kisiasa, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Desemba 2022.
View attachment 2464667
======
Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia leo 31/12/2022
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba huu ndio ule ule mwendelezo wa Majadiliano ya Maridhiano kuelekea Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi , ambapo Rais Samia amepokea Taarifa ya Maridhiano hayo
Mazungumzo hayo yalihudhuriwa pia na Makamu Mwenyekiti wa CCM Abdulrahman Kinana
Nani ana stress za maisha? Wenye stress ni nyie mnao muabudu Magufuli. Hatofufuka nakuhakikishiaAtajadiliwa na mafukara kama wewe, sisi wenye akili ndogo hatuna muda kama huo.
Tunajadili current issues, kama hapa JPM anakujaje kama sio stress za maisha?
Ndio utajua hujui, vichwa vilivyo nyuma ya mama ni magwiji ya hali ya juuSio kila mtu anayajua magenge hayo mnayafaham nyie mnaofugwa lumumba sisi tunakula misusa safi kijijin isiyo na mikojo wala kemikali wewe endelea kufugwa hapo lumumba ila mamayenu tayari amesurender kwa mbowe katiba inakuja itawafagia mazuzu wote hapo lumumba na hizo buku saba zenu ndo bye bye.
Kuna mtu hapa Jukwaani akiitwa Ikulu atakataa? Keki ya taifa inatakiwa kila mtu aonjeView attachment 2464661
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana mara baada ya kupokea taarifa ya Maendeleo ya mazungumzo ya mchakato wa maridhiano ya kisiasa, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Desemba 2022.
View attachment 2464667
======
Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia leo 31/12/2022
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba huu ndio ule ule mwendelezo wa Majadiliano ya Maridhiano kuelekea Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi , ambapo Rais Samia amepokea Taarifa ya Maridhiano hayo
Mazungumzo hayo yalihudhuriwa pia na Makamu Mwenyekiti wa CCM Abdulrahman Kinana
Narudia tena tafta kaz za kufanya au ufe njaa maana katiba mpya wajingawajinga kama wewe itawafyeka msijulikane hata mlikofyekelewaNdio utajua hujui, vichwa vilivyo nyuma ya mama ni magwiji ya hali ya juu
Kajinyonge, Mbowe ni kada tayariNarudia tena tafta kaz za kufanya au ufe njaa maana katiba mpya wajingawajinga kama wewe itawafyeka msijulikane hata mlikofyekelewa
Wenye kujinyonga ni nyinyi ambao nature itawafagia sisi kama hatukujinyonga kipindi cha mungu wenu wa chato hatutaweza kujinyonga tena kwa sasa jiandaeni kusaga meno katiba itawafagia mazuzu wote hapo lumumba.Kajinyonge, Mbowe ni kada tayari
Kama unaona mada inakuzidi uwezo siyo lazima kuchangia kuonesha ujinga wako unaweza kupita kimya kimya tu.Juisi za ikulu tamu sana daah JPM alichukiwa sababu aliwanyima mualiko wa mara kwa mara
Hahahaaa nawewe nakwambia kama yule poyoyo mmoja kuwa taften kaz za kufanya katiba mpya inakuja itawafagia na ujinga wenu.Mbowe kwisha habari yake,Kinana kamwambia bwashee tulia urambe asali,achana na maboya chalii wangu
sio kila mtu anafaham hayo mayanga yako peleka jukwaa la michezo wewe buku saba la sivyo tafta kaz za kufanya katiba mpya inakuja wajingawajinga itawafagia wote.Ni sawa na simba imekosa kombe la ligi kuu! Mo dewj anaenda makao makuu ya yanga kuomba maridhiano! Wakati kombe liko yanga! Sasa sijui anatakaje huyu mbowe au hela ya sikukuu!
tafta kaz za kufanya maana mamayenu kama hawagawii hio asali mtakufa njaa na katiba ndio hiyo.Kibuyu cha asali kimeisha, kaemda kuchukua kingine...
Kazi iendelee....
tafta kaz za kufanya maana mamayenu kama hawagawii hio asali mtakufa njaa na katiba ndio hiyo.