Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akutana na Rais Samia Ikulu leo Desemba 31, 2022

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akutana na Rais Samia Ikulu leo Desemba 31, 2022

Hapa unatapeliwa kamasio kudanganywa.

Unahudhuria vikao vya maamuzi wewe mwenyewe bila hata Katibu mkuu wa chama chako?
Ni nani anakusaidia kuandika agenda?

Je chadema ni chs chako mwrnyewe au ni chama cha wananchi?

Kinana na mama nao hakuna Katibu mkuu wa chama?Hicho ni kikao sasa?

Mama anachotafuta hapo ni kupita salama 2025 baada ya hapo maumivu utayaona bwana mbowe.

Ushauri wangu mazungumzo hayo wajumbe wawe 10 kwa kila upande ila kinachoendelea huko ikulu ni sawa ns mkutano wa ccm na hutatoboa.

JK bila kuamua hakuna kikao hapo.
 

Attachments

  • E0CD486D-6F8C-47DD-8C65-609673E595BA.jpeg
    E0CD486D-6F8C-47DD-8C65-609673E595BA.jpeg
    44.6 KB · Views: 3
  • 3E42AD8C-74F2-4C71-B37D-1F88F04D2BFB.jpeg
    3E42AD8C-74F2-4C71-B37D-1F88F04D2BFB.jpeg
    113.9 KB · Views: 3
Hapa unatapeliwa kamasio kudanganywa.

Unahudhuria vikao vya maamuzi wewe mwenyewe bila hata Katibu mkuu wa chama chako?
Ni nani anakusaidia kuandika agenda?

Je chadema ni chs chako mwrnyewe au ni chama cha wananchi?

Kinana na mama nao hakuna Katibu mkuu wa chama?Hicho ni kikao sasa?

Mama anachotafuta hapo ni kupita salama 2025 baada ya hapo maumivu utayaona bwana mbowe.

Ushauri wangu mazungumzo hayo wajumbe wawe 10 kwa kila upande ila kinachoendelea huko ikulu ni sawa ns mkutano wa ccm na hutatoboa.

JK bila kuamua hakuna kikao hapo.
Lakini umejua kilichowakutanisha ?
 
View attachment 2464661

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana mara baada ya kupokea taarifa ya Maendeleo ya mazungumzo ya mchakato wa maridhiano ya kisiasa, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 31 Desemba 2022.

View attachment 2464667
======

Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia leo 31/12/2022

Taarifa zaidi zinadokeza kwamba huu ndio ule ule mwendelezo wa Majadiliano ya Maridhiano kuelekea Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi , ambapo Rais Samia amepokea Taarifa ya Maridhiano hayo

Mazungumzo hayo yalihudhuriwa pia na Makamu Mwenyekiti wa CCM Abdulrahman Kinana
Hapa wazo linaloniijia mimi ni kwamba Rais Samia anaunda Serikali mpya, ameshamaliza kuiunda Serikali upya, sasa anataka tu kuwaweka Wapinzani, mmoja au wawili katika hyo Serikali
 
Back
Top Bottom