Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akutana na Rais Samia Ikulu leo Desemba 31, 2022

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akutana na Rais Samia Ikulu leo Desemba 31, 2022

Na wewe kila siku shetani wa chato,shetani wa chato utakufa mdomo upande huku unasema shetani wa chato wakati mwenyewe ni shetani.
Siwezi kuacha kumuita Magufuli shetani wa Chato kwa namna alivyokuwa anatenda. Kama unaweza amrisha Tundu Lissu apigwe risasi akiwa bungeni, ukamnyima matibabu, ukamnyang'anya ubunge na kumyima stahiki zake za ubunge wewe ni SHETANI tu. Hakuna binadamu anaweza akatenda hayo kwa mtu mmoja
 
Mbowe Yuko peke yake, hapo wanajadiliana ama anapewa maagizo?
 
Sasa kama wanafahamu, kwa nini wanaendelea kucheza?
Wanachama wana paswa kuushinikiza uongozi kujiweka kando na maridhiano na waalifu na sio kukigeuza chama kama mali yao binafsi viongozi.

Jambo nililo gundua ni kuwa wanachama wa Chadema ni waoga kwa viongozi wao hasa hasa viongozi wa juu wa chama kuanzia mwenyekiti, jambo linalo fanya mambo mengi ndani ya chama kutekelezwa kutokana na nguvu ya mwenyekiti na sio maridhio ya wanachama kwa asilimia kubwa.

Chama Cha Chadema chini ya Mbowe hakina tofauti na Chama Cha Kikomunisti cha China kipindi Cha mwenyekiti Mao maamuzi mengi ya Chama yalifanywa kutokana na nguvu zake na sio maridhio ya wanachama kwa asilimia kubwa.
 
In politics nothing happens by accident
20230101_220501.jpg
 
Hizi ndiyo siasa. Vyama vya upinzani viko kikatiba na wapinzani ni wananchi wenzetu.

Ila yule shetani wa Chato aliufanya upinzania ni uadui. Asante Mungu kwa kusikia maombi yetu hatimaye akasepeshwa jehanam mnamo 17/ 03/ 21
Chama kinaondoka hivo we umekazana na Magufuli.. Endelea kumkazia marehem tuone uchaguzi ujao utaibuka na kata ngapi
 
In politics nothing happens by accident
View attachment 2466049
Kiukweli kabisa usione vyaelea, vimeundwa!.
Mpaka hapo unapowaona, ujue kuna kazi kubwa imefanyika, watu wamemuombea mtu msamaha, Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? View attachment 2466068
Mtu akasamehewa, pesa za vikao kuendesha zile kangaroo courts zikatolewa!, fedha za uendeshaji wa chama zinatolewa!, fedha za trips pia zinatolewa...
Tunaelekea pazuri.
P
 
Wanachama wana paswa kuushinikiza uongozi kujiweka kando na maridhiano na waalifu na sio kukigeuza chama kama mali yao binafsi viongozi.

Jambo nililo gundua ni kuwa wanachama wa Chadema ni waoga kwa viongozi wao hasa hasa viongozi wa juu wa chama kuanzia mwenyekiti, jambo linalo fanya mambo mengi ndani ya chama kutekelezwa kutokana na nguvu ya mwenyekiti na sio maridhio ya wanachama kwa asilimia kubwa.

Chama Cha Chadema chini ya Mbowe hakina tofauti na Chama Cha Kikomunisti cha China kipindi Cha mwenyekiti Mao maamuzi mengi ya Chama yalifanywa kutokana na nguvu zake na sio maridhio ya wanachama kwa asilimia kubwa.
Umeandika uongo
 
Kiukweli kabisa usione vyaelea, vimeundwa!.
Mpaka hapo unapowaona, ujue kuna kazi kubwa imefanyika, watu wamemuombea mtu msamaha, Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? View attachment 2466068
Mtu akasamehewa, pesa za vikao kuendesha zile kangaroo courts zikatolewa!, fedha za uendeshaji wa chama zinatolewa!, fedha za trips pia zinatolewa...
Tunaeleea pazuri.
P
Unaandika uongo kwa faida ya nani ?
 
Chama kinaondoka hivo we umekazana na Magufuli.. Endelea kumkazia marehem tuone uchaguzi ujao utaibuka na kata ngapi
Kwani wewe umekatazwa kuanzisha Chama chako?

Mbona mnataka kuwa wajuaji kuliko waanzilishi wa vyama?

Kama huwezi anzisha Chama chako basi hama? Msijipe umuhimu msiokuwa nao
 
Back
Top Bottom