Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
mko wapi ?Sisi tuko na John Heche
Kinondoni Shambamko wapi ?
Hiyo ni mkoa gani ?Safi sana na hope's kuna siku atatutembelea huku lingusenguse, maana hakuna president wa nchi ameshawahi kutia mguu wake huku toka uhuru wa bendera
Kofia mbiliAnaenda kama Mwenyekiti mwenza wa DUA au kama Mwenyekiti wa Chadema?
Ruvuma,wilaya ya Namtumbo mkuuHiyo ni mkoa gani ?
AmenMungu ibariki CDM na mwenyekiti Mbowe
"Uongozi ni hekima sio mabavu"
hii ni kanda ya kusini nadhaniRuvuma,wilaya ya Namtumbo mkuu
Huko marekani anaenda kufanya kazi gani bwashee?Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Chama hicho Duniani kote leo .
Kwamba Mwamba wa siasa za Tanzania , ambaye pia ni Mandela wa Eneo la Maziwa Makuu , Mtemi Isike , Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe , Leo tarehe 4/12/2022 anaondoka nchini Tanzania kuelekea nchini Marekani kwa ziara ya kikazi ya siku sita .
View attachment 2435494
ngoja tutafute ile picha ya Mange akimpokea Dkt HangayaDaah! Mwenyekiti wa chama kubwa anaalikwa na mataifa makubwa na kupokelewa na watu wakubwa.
Kuna mwenyekiti wa chama fulani chakavu yeye alipoenda taifa kubwa akapokelewq na Mange Kimambi
wewe mbona huendi kula hio bata kama ni rahisanaeenda kulazake batatu hakuna kazi yoyote ya maana anaeenda kufanya