Yes pleasehii ni kanda ya kusini nadhani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes pleasehii ni kanda ya kusini nadhani
nasubiri uende nawewe kwanza ndio namimi niendewewe mbona huendi kula hio bata kama ni rahis
Maadam umetoa taarifa hapa basi yameishaYes please
Huna nauli ?nasubiri uende nawewe kwanza ndio namimi niende
ninayo ila nasubiri uende ukirudi nione Kama kunafaida umerudi nayo au ndio yaleyaletu. namimi ndio Nita fanya maamuziHuna nauli ?
Trip ya USA ikose faida ?ninayo ila nasubiri uende ukirudi nione Kama kunafaida umerudi nayo au ndio yaleyaletu. namimi ndio Nita fanya maamuzi
hahaha nyie chadema mtapata faida gani huko. hebu nidanganye...Trip ya USA ikose faida ?
Mkuu umewahi kufika hata Ulaya tu ? US ni habari nyingine .hahaha nyie chadema mtapata faida gani huko. hebu nidanganye...
Em tupe hizo faidaTrip ya USA ikose faida ?
Muosha magari pale ccm hawezi kufurahia taarifa kama hii kwa sababu nyie mlitegemea kwa ile kesi yenu ya kubumba basi yule jaji wenu angeweza kumfunga jela lakini kisicho riziki hakiliki.Sisi tuko na John Heche
Faida zake tukiandika hapa JF hapatatoshaEm tupe hizo faida
Taja tatuFaida zake tukiandika hapa JF hapatatosha
Karibu sanaAsante kwa taarifa.
Labda magazine ya Times imeshamshtua kuwa yeye ndio Times person of the year 2022Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Chama hicho Duniani kote leo .
Kwamba Mwamba wa siasa za Tanzania , ambaye pia ni Mandela wa Eneo la Maziwa Makuu , Mtemi Isike , Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe , Leo tarehe 4/12/2022 anaondoka nchini Tanzania kuelekea nchini Marekani kwa ziara ya kikazi ya siku sita .
View attachment 2435494
Mwamba kama MwambaLabda magazine ya Times imeshamshtua kuwa yeye ndio Times person of the year 2022
View attachment 2436019
Naona huwez kutaja zile faida 😂 chadema bhana kwa mikwara mko vizuriMwamba kama Mwamba
Nimekupuuza tuNaona huwez kutaja zile faida [emoji23] chadema bhana kwa mikwara mko vizuri
😂 Sio umenipuuza, sema ukweli tuu kuwa wewe n bendera Fata upepo wa chadema.Nimekupuuza tu