Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Kwani unavyosikia shetani huwa ubadhani ni lidubwasha fulani la kutisha? Mashetani wapo katika maumbo mengi, huyo ana sifa zote za shetani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kwa msingi huo wana sababu ya msingi kuomba fidia.
 
Nahisi Mbowe na matiako watakuwa wametia akili kwa sasa. Wamwache aje kupambana na Lissu.

Kibibi cha Lumumba kuna wakati wingu likitanda akili inatoweka kabisa.Nilifikiri ungesoma hukumu ya Jaji msomi Rumanyika ungekaa kimya na kuona aibu jinsi hakimu aliyepandishwa cheo na Rais kuwa Jaji alivyochemsha.

Mosi Hakimu Mashauri alipindisha hukumu ili kukidhi matakwa toka juu.

Pili Hakimu Mashauri hakustahili kupanda daraja la Ujaji kwakuwa daraja la uhakimu lilimshinda.

Tatu mamlaka za kupandisha vyeo zinastahili kutafari upya kama zinaheshimu dhamana walizokabidhiwa na wananchi au wameamua kunajisi madaraka hayo.
 
"Jaji Rumanyika sio tu amewaachia huru Mbowe na Matiko bali pia amefuta masharti ya dhamana ya kuripoti Polisi kila wiki"

"Hii ni rufaa mojawapo sijawahi kuiona Katika kazi yangu ya Ujaji. Maofisa wa mahakama kama mahakimu wanapaswa kutumia utashi wao kuamua haki za watu kwa kuzingatia Haki"

wale majaji wa Lumumba waje sasa
 
Hata Ephrahim Kibonde alikuwa na kejeri zaidi yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Uwezekano wa Mbowe kushinda hii kesi ni mdogo kwa kuwa dharau alizofanya zilikuwa za wazi kabisa akitegemea mabwana wake wa Brussels ( EU ) watamtetea, acha apate anacho stahili iwe fundisho kwa wote pia.
Wako huru sasa, your wishes have failed.
 
Hivi unashiriki vipi misa ya kupakwa majivu kanisa moja na wafuasi wa shetani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…