Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Hons Justice RUMANYIKA ukisoma hukumu yake unaona kweli huyu ni jaji wa mahakama kuu,Ni hazina na ameijengea hadhi mahakama
 
Dhamana haki ya yao kilichokuwa kinafanyika sarakasi za maelekezo ya jiwe shetani anakwenda kushindwa leo
Hivi ukiwa chadema lazima tuwe na uwezo mdogo wa kufikirikia ,kama jiwe aliingilia atashindwa nini kuingilia kwa Rumanyika ?mawakili wenu walichemka tu
 

Kamwe shetani hawezi shinda ataaibika tu, uchumi tumesha aibika, demokrasia tumeaibika kumuua lisu aibu duniani, saa nane, MO, manji nk aibu kwa serikali ya shetani.
 
Na wewe umejibu kama Mtanzania halisi ambae baada ya kumsaidia kujibu swali anaporomosha maneno ya kejeli alafu ndo jibu linafuata bila kutambua kwamba katika idadi ya Watanzania sio wote wenye uelewa wa mambo mbalimbali, yeye kauliza swali apate kuelewa
 
Hivi ukiwa chadema lazima tuwe na uwezo mdogo wa kufikirikia ,kama jiwe aliingilia atashindwa nini kuingilia kwa Rumanyika ?mawakili wenu walichemka tu
Mawakili walishindwa nini na leo wameweza nini.
 

Haya maneno ndio yanayothibitisha kwamba Hakimu Mashauri hakutumia na kuzingatia utashi na weledi wa kazi katika maamuzi yake.
Yeye alitumika kama chombo tu cha hao waliokuwa wanamtumia.


Na kama kawaida yao, watu hawa walitaka kutumia tukio la kuwaweka Mbowe na Matiko Mahabusi kuwa mfano kwa wengine. Waogope na wao yasiwapate kama yalivyowapata Ester na Mbowe na Godbless Lema, na Jualikali, n.k.
Hii ndio njia yao ya kuwatishia watu waTanzania wawaogope na kuwatia hofu.

Jee, waTanzania sasa wamezidi kuwa waoga?

Na Kama waTanzania "si wajinga" kama tulivyoambiwa, watakuwa wamejifunza nini katika tukio hili? Hakuna funzo lolote watakalojifunza?

CHADEMA watafanya nini ili hili funzo liwaingie vizuri waTanzania?

Ni viongozi wa ajabu sana hawa tulionao wakati huu!
 
Yaani spika wetu ni mbaya sana. Kweli kamtesa mama wa watu wakati yeye ndo alomtuma kwa safari jamani. Nimeumia sana kwa kweli.
 
Wewe msukuma nyamaza tutachanga mpaka mafao ya Lissu mshahara tutachanga mpaka kipindi chake cha ubunge kiishe!
 
Akili zinazotumika kutoa ushauri kwa mambo mepesi saa nyingine unakaa na kujiuliza hawa ndio wanadhamana ya kupambana na mabeberu huko duniani je wanawezaje?
 
Wakionekana wanapaswa kuwa nje kwa dhamana, Je watalipwa fidia ya kuwekwa ndani muda wote huo!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Thubutuuu...
Kesi hii inadhihirisha kuwa wapo wanasheria waliopo kwa utashi na matakwa ya watu lakini pia wapo waliopo ili kutimiza matakwa ya sheria na kutenda haki.
Majaji na mahakimu wapo kutenda wajibu wa kiMungu katika utoaji haki na adhabu wakikengeuka hilo sijui mwisho wa siku kama Kaizari atawaikoa na adhabu ya milele.
 
Hata Matako ni jina pia sifahamu kwanini alijibadilisha.
Mmmh! Hukumu ya jaji imeleta mtikisiko mkubwa...
Chuki au ghadhabu... Hasira au dhihaka? Inda ana hila? Ni hiyana au choyo?
Kwanini?
Kwanini?
Kwanini...?
 
Kumbe Matiko alitumwa na Spika Burundi yaani pamoja na kuleta uthibitisho bado alikataliwa? Duuh tuombe uzima kwa kweli ili tuyaone mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunatakiwa sote tuimbe wimbo wa aina moja... neno upinzani halitakiwi kusikika...
Tuna demokrasia yetu ebooo hivi kwanini hatuelewi tunavyoambiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…