Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Na wakionekana wanapaswa kuendelea kuwa ndani kwa kukiuka masharti ya dhamana ikiwemo kutoonekana mahakamani na kuvunja sharti la kutosafiri nje ya nchi mtaridhia waendelee tu kukaa ndani?

Sent using Jamii Forums mobile app
kiazimviringo wa lumumba utamuona tu, kwanza sasa hakuna mahakama kuna huru aachiwe asiachiwe yaleyale tu. magu alisema wataishia jela ko hakuna jipya na ni bora waishie jela tu.
 
Mmoja ataachiwa mwingine atabaki
 
Tuna imani watashinda watapewa dhamana ni haki yao walikuwa wananyimwa kwa sababu ya maelekezo kutoka kwa jiwe giza haliwezi kushinda nuru.


Wilbard angelitumia condition hiyo asingeliwafutia dhamana! There were other means to look at the issues!
 
Uwezekano wa Mbowe kushinda hii kesi ni mdogo kwa kuwa dharau alizofanya zilikuwa za wazi kabisa akitegemea mabwana wake wa Brussels ( EU ) watamtetea, acha apate anacho stahili iwe fundisho kwa wote pia.
 
Kuhusu hatia tu, hilo ni la mahakama kuamua
Jiwe ana laana haya mabaya anayofanya kuna siku naye atahukumiwa sijawahi kuona kiongozi mkatili kaka jiwe unafurahi kuona kiongozi wa upinzani kukaa mahabusu kwa muda wa miezi mitatu bila kuwa na hatia
 
View attachment 1039959

Wilbard angelitumia condition hiyo asingeliwafutia dhamana! There were other means to look at the issues!
He was only interested on one side of the coin. He used this principle of laws... "The error is in the face of the record, you don't need to look behind the record". He only looked on the face of the record.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haki huwa inacheleweshwa tu na watoto wa dawa ila itapatikana
 
endelea kujidanganya, magu tunae hadi 2030
 
Nahisi Mbowe na matiako watakuwa wametia akili kwa sasa. Wamwache aje kupambana na Lissu.
 
Kwa nini usiulize kwa nini walifutiwa dhamana unauliza kwa nini hawakupewa dhamana?,hili ni tatizo la watu kuposti bila kuangalia kinachojadiliwa.

Dhaana yao ilifutwa na mahakama ya chini,wakaenda makahama kuuu,huko serikali ikakata rufaa ikipinga rufaa yao isisikilizwe,mahakama ikatupa rufaa ya jamhuri.leo ndo mbivu na mbichi zitajulikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…