Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
sahauWakionekana wanapaswa kuwa nje kwa dhamana, Je watalipwa fidia ya kuwekwa ndani muda wote huo!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sahauWakionekana wanapaswa kuwa nje kwa dhamana, Je watalipwa fidia ya kuwekwa ndani muda wote huo!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi Mbowe na matiako watakuwa wametia akili kwa sasa. Wamwache aje kupambana na Lissu.
so what ?Hujui kama Lissu katangaza kugombea urais?
kama kanisa ni moja la katoloki na takatafu mbona mshirika mtawala wetu ni hatari?Kwani bado tu kesi haijakwisha...?
kanisa ni moja tu Katoliki Takatifu na La Mitume..
so what ?
Unadhani Mbowe akiendelea kukaa jela utafanikiwa kimaisha au siku zako za kuishi Duniani zitaongezeka? Pathetic Jinga kabisa wewe.umeongea upuuzi, maana hakunaga kitu kama hicho
ebu tupekue vifungu vya sheriw vya kumtetea MBOWE ATOKE NDANI
msaidie mwanasheria kutafuta vifungu na omba atoke
umeongea kama mtanzania halisi na may be std 3 ambaye anauliza maswali badala ya ku focus kwenye KUFANYA jambo litokee
Good, kama una nia ovu utafanya hivyo! see this again, naomba poteza muda kidogo usome...He was only interested on one side of the coin. He used this principle of laws... "The error is in the face of the record, you don't need to look behind the record". He only looked on the face of the record.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasalaam, habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika zinaeleza kuwa kwa sasa mh mbowe na ester matiko watapatiwa dhamana hivi karibuni. Habari zinaeleza kwamba lengo lilikua kutimiza mission mbowe akae ndani ili mh lowassa akusanye siri na mikakati ya chadema na kuipeleka ccm. Kwa kuwa mission imetimia inaelezwa ccm wameshaielekeza mahakama iwapatie dhamana washitakiwa hao.
Hata Matako ni jina pia sifahamu kwanini alijibadilisha.Correction: Hon Matiko....
Someone hacked jina lako?
GT kama ww na hii comment yako ni vitu tofauti.
Unadhani Mbowe akiendelea kukaa jela utafanikiwa kimaisha au siku zako za kuishi Duniani zitaongezeka? Pathetic Jinga kabisa wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
watatakiwa kuhudhuria mahakamani kwa kesi ya msingi kila inapotajwa na kufuata masharti ya dhamanaWakionekana wanapaswa kuwa nje kwa dhamana, Je watalipwa fidia ya kuwekwa ndani muda wote huo!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhudhuria.Ilikuwa nikila tarehe ya kusikilizwa kesi inayowakabili viongozi wa chadema inapofika,huyu bwana mkubwa tulikuwa tunaambiwa kalazwa anaumwa.
Tangu kawekwa kolokoloni sioni akiwa mahututi tarehe za kusikiliza rufaa yake,na pingamizi la rufaa yake.
Kumbe akiwa ndani haugui,naona nipazuri,panafaa aendelee kukaa ili kesi inayowakabili iende haraka.
Na huko ndiko asaliko Jiwe!Kwani bado tu kesi haijakwisha...?
kanisa ni moja tu Katoliki Takatifu na La Mitume..
I guess was deliberately misspelled. You know this lady better, I hope...Correction: Hon Matiko....
Someone hacked jina lako?
GT kama ww na hii comment yako ni vitu tofauti.