Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Wasalaam, habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika zinaeleza kuwa kwa sasa mh mbowe na ester matiko watapatiwa dhamana hivi karibuni. Habari zinaeleza kwamba lengo la kwasotesha ndani lilikua kutimiza mission mbowe akae ndani ili mh lowassa akusanye siri na mikakati ya chadema na kuipeleka ccm. Kwa kuwa mission imetimia inaelezwa ccm wameshaielekeza mahakama iwapatie dhamana washitakiwa hao na hakika itawapatia, kwani sote tunatambua mahakama zetu ni tiifu kwa chama dola na hufanya kazi kwa shinikizo kutoka nyumba kuu
eti ccm sema Magufuli kesha jifurahisha na leo atagonga kila aina ya glass ya mvinyo kujisifu kwamba tangu upinzani uanze Mbowe alikuwa hajaonja jela yeye kiboka kamlaza Mbowe jela miezi mitatu naona na nchi sasa itakuwa na bajeti yakutununulia noah sisi sote na Balimi maana furuha ya Magu haipimiki ,Maguu hoyeee umeswekelea ndani Mbowe ,wewe ndio dikteta maarufu Afrika mashariki na Afrika nzima
 
Good, kama una nia ovu utafanya hivyo! see this again, naomba poteza muda kidogo usome...
Kuna sababu ambazo mahakama huwa inaziangalia hata kama mtu amefail bail conditions!!! nitakupa judgement nzima

View attachment 1039987
Nimeisoma. Hapo kama ulivyosema, inategemea sana na nia ya hakimu mwenye kutoa maamuzi. Kumbuka kama nia ni ovu or vice versa, kutatafutwa any technical errors (regardless of impacts on the matter) ili tu ku justify na mwisho kutoa maamuzi. And I hope the same was done to reach to conclusions on this. But you can't point out any wrong doing on the conclusion.

NB: Nimejadili nikiwa neutral, just for the matter of discussion. Kiukweli hakimu angeweza kutazama kwamba kosa la kukiuka dhamana si kubwa kiasi hicho na kwa sababu zilizotolewa na wahusika "ugonjwa'" angeweza kuamua vinginevyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Mbowe kiazi kweli, karuka dhamana ili awekwe jela halafu Lowassa aibe siri za chama chake halafu akiulizwa aseme hajui maana alikuwa jela wakati Lowassa anaiba siri!
Jiwe ndio Kiazi sana ameichoresha nchi inaitwa Tanzania ya dikteta yeye anachekelea tu
 
Kwa akili hizo ndio maana kila mchezo mkiucheza mnaishia kuumbuana hadharani. Juzi mkuu amekumbushia kesi ya MO.

Msifikirie watanzania ni wajinga kiasi hicho
 
Siri ndio nini,? Hivi unafikiria mikakati uwa inakaa Ile Ile tu? Ingekuwa hivyo basi wafanyakazi wanaoama taasisi moja kwenda nyingine wanayoiacha ingekuwa inakufa.

Mtu anahama kutoka NMB kwenda CRDB Ndio NMB inakufa?....

Au Yule jamaa alisefanya kaziVoda,,tigo na airtel sasa hv yupo sports pesa kenya ndio voda imekufa.?....

Au wakina Ibrahim Masood & Dinna kuhama Clouds kwenda Efm ndio clouds kufa?....

Taasisi itabaki kuwa taasisi tu na mtu atabaki kuwa mtu na hakuna taasisi inayokuwa na mbinu za aina Ile Ile muda wote.......

Hakuna mtu duniani anayeweza kuwa zaidi ya taasisi..

Sent using Jamii Forums mobile app
Everyone should read this before commenting rubbish on this thread

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam, habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika zinaeleza kuwa kwa sasa mh mbowe na ester matiko watapatiwa dhamana hivi karibuni. Habari zinaeleza kwamba lengo la kwasotesha ndani lilikua kutimiza mission mbowe akae ndani ili mh lowassa akusanye siri na mikakati ya chadema na kuipeleka ccm. Kwa kuwa mission imetimia inaelezwa ccm wameshaielekeza mahakama iwapatie dhamana washitakiwa hao na hakika itawapatia, kwani sote tunatambua mahakama zetu ni tiifu kwa chama dola na hufanya kazi kwa shinikizo kutoka nyumba kuu
😡
 
Ilikuwa nikila tarehe ya kusikilizwa kesi inayowakabili viongozi wa chadema inapofika,huyu bwana mkubwa tulikuwa tunaambiwa kalazwa anaumwa.
Tangu kawekwa kolokoloni sioni akiwa mahututi tarehe za kusikiliza rufaa yake,na pingamizi la rufaa yake.
Kumbe akiwa ndani haugui,naona nipazuri,panafaa aendelee kukaa ili kesi inayowakabili iende haraka.
Kwani ukiwa mahabusu huruhusiwi kuugua? Aliyekuambia akiwa mahabusu huo ugonjwa haukua unampata ni nani? Au unatuambia akiwa mahabusu akaugua huo ugonjwa basi angeachiwa na kwa kuwa hakuachiwa hakuugua huo ugonjwa akiwa mahabusu? Watu wengine mnaweka thread kama vile kuna mtu kaazima ubongo wenu.
 
Umepotea Kama lilivyopotea Tumbo la Yule Singasinga wa IPTL ambae lilishindikana
 
Mimi nina wasiwasi na Afya ya Mwenyekiti akitoka anatakiwa apime damu haraka inawezekana kabisa keshalishwa sumu,juzi wamejifanya kuwapima Wafungwa HIV kama na yeye alikuwemo lilikuwa Lengo la kujua stage ya Sumu.
 
Umefaidikaje kukaa kwake Ndani?
sio mimi tu naefaidika,
nifaida kwa wahusika pia😆
huoni kesi itawahi kuisha na kina mnyika watakuwa huru na majukum yao kuliko sasa hivi wanaishi kwa dhamana!!!?
 
m
Kwani ukiwa mahabusu huruhusiwi kuugua? Aliyekuambia akiwa mahabusu huo ugonjwa haukua unampata ni nani? Au unatuambia akiwa mahabusu akaugua huo ugonjwa basi angeachiwa na kwa kuwa hakuachiwa hakuugua huo ugonjwa akiwa mahabusu? Watu wengine mnaweka thread kama vile kuna mtu kaazima ubongo wenu.
mbona sasa hivi haumpati siku ya tarehe ya kusimama kizimbani?
 
Ilikuwa nikila tarehe ya kusikilizwa kesi inayowakabili viongozi wa chadema inapofika,huyu bwana mkubwa tulikuwa tunaambiwa kalazwa anaumwa.
Tangu kawekwa kolokoloni sioni akiwa mahututi tarehe za kusikiliza rufaa yake,na pingamizi la rufaa yake.
Kumbe akiwa ndani haugui,naona nipazuri,panafaa aendelee kukaa ili kesi inayowakabili iende haraka.
Kakubali sheria ,"ngesem wahed"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa akili hizo ndio maana kila mchezo mkiucheza mnaishia kuumbuana hadharani. Juzi mkuu amekumbushia kesi ya MO.

Msifikirie watanzania ni wajinga kiasi hicho
Alisema watanzania sio wajinga sana, INA maana watanzania ni wajinga ila kidogo
 
Hata Matako ni jina pia sifahamu kwanini alijibadilisha.
Mimi nilikuwa nakufikiri kama mtu wa maana, kumbe??? Nilikujibu hapa in line with your post, ukaripoti nikafungiwa (anyway, I had an alternative way to jump on JF), naona umerudia kwa mwingine!
 
Back
Top Bottom