Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
ngoja nicheke kama Jacob Zuma "heheheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee aaiiiiiiii"Kuhudhuria.
Punguani wahed.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja nicheke kama Jacob Zuma "heheheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee aaiiiiiiii"Kuhudhuria.
Punguani wahed.
Punguza hisia bibie. Try to be rational in your thinking.Masikini ya Mungu pesa za matibabu na school fees za wanawe tumeona clip anaomba kwa diaspora huko US sasa pesa za kununua nafasi ya kugombea urais atazitoa wapi? Unafikiri Wachagga watampa bure hiyo nafasi?
tatizo mbowe zarau anataka aonewe huruma kwakuwa mpinzani basi afanye anavyotaka kakiuka mashart ya dhamana halafu aonewe huruma akatanue nje wenzie wanahuzuria mahakamani acha ale jeuri yakeMwenye nia ovu hapa ni serikali. Haiwezekani heshima ivunjiwe mahakama kisha dhamana hiyo upinge wewe. Tatizo ni ukichaa unaoendelea wa kufanya upinzani kuwa ni uadui.
Hata kwenye siasa mikakati inaevolve kutokana na mazingira na nyakati. TAL sasa anatembelea dunia kueleza maovu ya watu wabaya baada ya kwenda Belgium kwa matibabu, kabla ya hapo harakati zilikuwa ndani ya nchi.Mbina umetolea mfano vitu vya kipuuzi sana mkuu? Hii ni siasa siyo clouds au mpira.
Sent using Jamii Forums mobile app
PoleKumbe Mbowe kiazi kweli, karuka dhamana ili awekwe jela halafu Lowassa aibe siri za chama chake halafu akiulizwa aseme hajui maana alikuwa jela wakati Lowassa anaiba siri!
Hata ukimpa, bado mambo yanabadilika[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yani mtu umpe kugombea urais, kwamba anaenda kuwa rais wa nchi alafu usimpe siri na mikakati yenu? Kwa chadema ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo unataka kusema walipanga mbowe akiuke masharti ya dhamana?Wasalaam, habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika zinaeleza kuwa kwa sasa mh mbowe na ester matiko watapatiwa dhamana hivi karibuni. Habari zinaeleza kwamba lengo la kwasotesha ndani lilikua kutimiza mission mbowe akae ndani ili mh lowassa akusanye siri na mikakati ya chadema na kuipeleka ccm. Kwa kuwa mission imetimia inaelezwa ccm wameshaielekeza mahakama iwapatie dhamana washitakiwa hao na hakika itawapatia, kwani sote tunatambua mahakama zetu ni tiifu kwa chama dola na hufanya kazi kwa shinikizo kutoka nyumba kuu
Ubaguzi wa dhahiri. Nakuachia wewe na Mola wakoFidia?
Wewe ni Mchagga?
Masikini ya Mungu pesa za matibabu na school fees za wanawe tumeona clip anaomba kwa diaspora huko US sasa pesa za kununua nafasi ya kugombea urais atazitoa wapi? Unafikiri Wachagga watampa bure hiyo nafasi?