Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Thank you God,sasa Ndio wakati wa kwenda kumpima Damu Mwenyekiti wetu.
Esther Matiko dhamana akipewa atimue mbio akawakumbatie polisi awaombe wampe ulinzi hadi nyumbani huyo mkware Mbowe asije mngangania ukitilia maanani kakaa ndani muda mrefu ana usongo.
 
Walikata rufaa Mahakama Kuu wakipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwafutia dhamana.

Walifutiwa dhamana hiyo na aliyekuwa Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri Novemba 23, 2018. Kufuatia uamuzi huo, Mbowe na Matiko, walikata rufaa Mahakama Kuu siku hiyo hiyo, wakipinga kufutiwa dhamana yao chini ya hati ya dharura. DPP aliweka pingamizi la awali akiiomba mahakama hiyo isiisikilize rufaa hiyo pamoja na mambo mengine akidai kuwa haina mamlaka kwa kuwa rufaa hiyo ilikuwa inakiuka matakwa ya sheria

Mbowe na matiko walikata rufaa Mahakama ya Rufaa, na Tarehe 1 Machi Mahakama ya Rufani ilitupilia mbali hoja za rufaa ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na kuelekeza jalada la rufaa hilo lirejeshwe Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na usikilizwaji wa rufaa.
Walifutiwa dhamana hiyo na aliyekuwa Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri Novemba 23, 2018. Kufuatia uamuzi huo, Mbowe na Matiko, walikata rufaa Mahakama Kuu siku hiyo hiyo, wakipinga kufutiwa dhamana yao chini ya hati ya dharura.
Wiki chache baadaye, hakimu Mashauri alipandishwa cheo na kuwa jaji ikiwa ni shukurani ya pekee kwake binafsi kwa kufanikisha ufutwaji wa dhamana hiyo.
 
Masikini ya Mungu pesa za matibabu na school fees za wanawe tumeona clip anaomba kwa diaspora huko US sasa pesa za kununua nafasi ya kugombea urais atazitoa wapi? Unafikiri Wachagga watampa bure hiyo nafasi?
Too low mama Foxy. Kujipendekeza usisahau utu na ubinaadamu, hii ni siasa tu.

Nani wamemsababishia Lissu kuwa omba omba ?!. Upige mtu risasi 38 umnyime matibabu , mishahara na posho zake !!! Halafu ushangae Lissu kuomba ?!.

Nimejizuia nisitukane plz [emoji87][emoji850]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nahisi watanyimwa, maana huu ulinzi siyo wa kawaida. Kuna nini kwa ulinzi huu mkali hivo? Mbona hata magari ya washawasha yapo? Labda hisia zangu tu. Nikahisi huu ulinzi utakuwa wa kudhibiti mihemuko watakaponyimwa dhamana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Esther Matiko dhamana akipewa atimue mbio akawakumbatie polisi awaombe wampe ulinzi hadi nyumbani huyo mkware Mbowe asije mngangania ukitilia maanani kakaa ndani muda mrefu ana usongo.
Kweni kuna Ubaya gani nyinyi Lumumba pia huwa Ute unawatoka Kwa Matiko,
Mwenyekiti ni Mwanaume Rijali anaweza kupumzika na Ester ili Muumie Zaidi.
 
Masikini ya Mungu pesa za matibabu na school fees za wanawe tumeona clip anaomba kwa diaspora huko US sasa pesa za kununua nafasi ya kugombea urais atazitoa wapi? Unafikiri Wachagga watampa bure hiyo nafasi?
Lisu anafikiri wachaga ni kama wanyaturu wachaga pesa mbele.Wanasema ukitaka kuhakiki kama kweli mchaga kafa angusha hela ya coin kama shilingi mia tano karibu kichwa cha inayosemekana ni maiti ya mchaga ukiona haijatikisika kwa mlio ule wa hela uliyoitupa chini jua mchaga kafa kweli.Mchaga akifa huhitaji kupeleka mortuary kuhakiki kama kafa tafuta hela coin iwe mia mbili ,mia,au mia tano idondoshe chini mbele ya maiti akiwa mzima mangi lazima atikisike mbele ya pesa aamke aiamkie hela kwa kusema shikamoo pesa
 
Lisu anafikiri wachaga ni kama wanyaturu wachaga pesa mbele.Wanasema ukitaka kuhakiki kama kweli mchaga kafa angusha hela ya coin kama shilingi mia tano karibu kichwa cha inayosemekana ni maiti ya mchaga ukiona haijatikisika kwa mlio ule wa hela uliyoitupa chini jua mchaga kafa kweli.Mchaga akifa huhitaji kupeleka mortuary kuhakiki kama kafa tafuta hela coin iwe mia mbili ,mia,au mia tano idondoshe chini mbele ya maiti
Hakuna Hoja Hapo Jee wakati jeneza linashushwa Kaburini bila ya Kusiakia Coin anatulia tu?!
Hadi Mchanga unaanza kulimwagikia Jeneza bila Kusikia Coin anajikausha tu!! No!
 
tatizo mbowe zarau anataka aonewe huruma kwakuwa mpinzani basi afanye anavyotaka kakiuka mashart ya dhamana halafu aonewe huruma akatanue nje wenzie wanahuzuria mahakamani acha ale jeuri yake
Mahakama ikidharauliwa inao uwezo wa kujiamulia yenyewe wala si jukumu la DPP kushadadia wasipewe dhamana. Hiyo inaonesha nia ovu ya kutaka kuwasotesha watuhumiwa gerezani wakati kesi yenyewe mpaka leo ushahidi unatafutwa kwa tochi.
 
Wamepata dhamana mbele ya jaji Rumanyika wa Mahakama Kuu.

Walikata rufaa Mahakama Kuu wakipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwafutia dhamana.

Walifutiwa dhamana hiyo na aliyekuwa Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri Novemba 23, 2018. Kufuatia uamuzi huo, Mbowe na Matiko, walikata rufaa Mahakama Kuu siku hiyo hiyo, wakipinga kufutiwa dhamana yao chini ya hati ya dharura. DPP aliweka pingamizi la awali akiiomba mahakama hiyo isiisikilize rufaa hiyo pamoja na mambo mengine akidai kuwa haina mamlaka kwa kuwa rufaa hiyo ilikuwa inakiuka matakwa ya sheria

Mbowe na matiko walikata rufaa Mahakama ya Rufaa, na Tarehe 1 Machi Mahakama ya Rufani ilitupilia mbali hoja za rufaa ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na kuelekeza jalada la rufaa hilo lirejeshwe Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na usikilizwaji wa rufaa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom